Umenena vema. Ni kweli stendi ya mabasi makubwa haijaanza operation. Ila hii ya kwenye video ni stendi ndogo na inafanya kazi mpaka saa 12 jioni. Magari yanayotoka chato kwenda Mwanza kweli ni machache e.g Mkwema, & stendi ndogo inafanya kazi kila siku (Mabasi ya kwenda katoro, Muganza, Mwanza...
SIO KWELI!! Hii video itakuwa ya zamani sana... kabla ya stendi kuanza kutumika. Kwamba hakuna gari wala mtu yeyote? Can you show some respect to God your creator, at least kwa kupost taarifa yenye ukweli?
Usipotoshe umma mkuu! Kitaalam, wheelchairs hazipiti kwenye staircase (ngazi za kawaida zenye threads na risers). Lazima ijengwe ramp (ngazi isiyo na steps). Otherwise kuwe na lift, fullstop! No alternative! Na hoja ya mkurugenzi ilikuwa ni Lift na Ramp. Kuna umuhimu wa kuheshimu taaluma za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.