Tafakari sasa, mtu anayejua undani wa mtu huyo kuliko hata wewe ujuavyo kuwa mmoja wa watu wanaomuunga mkono huyo uliyelishwa maneno kuwa ni fisadi, Mahakama zipo wazi peleka ushahidi utasikilizwa
Kiongozi mstaafu wa serikali anapoamua kuwa mwanasisa nje ya chama dola ni kukiuka kiapo, mbona husemi IGP mstaafu alipoamua kugombea ubunge kwa tiketi ya chama dola?
pilau ya pikwa kwa jirani tumbo la kuvuruga weyeee kwani wewe Mwana UKAWA??, zungumzia Pinda kutokuwepo jana wakati yeye ni mwenyekiti wa wabunge wa CCM
Aliyeacha kufikiri ni yule aliyekufa tu. Narejea, jina hubeba sifa, tabia na mwenendo wa mtu, kitu au sehemu. Aliyetoa jina la Tingatinga kwa mtu hakukosea alifanya akijua hasa anamaanisha nini kwa aliyemkusudia, Wote tunajua sifa za Tingatinga lakini kifaa hiki bila dereva makini si chochote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.