Kwenye mambo ya maana hawajitokezi, kwenye upuuzi wanajaa, dunia imefika kikomo. Subiri parapanda mchezo uishe. Endeleeni kula ujana, ila dunia siyo ya mzungu.
Matusi yanini wewe? Unatetea ujinga halafu unatukana? Angekuwa raia wakawaida hapo askari wangemsumbua hadi aione dunia chungu. Unaongea upuuzi halafu unatukana mtandaoni. Take care sir please, just do it.
Ameongea sawa kabisa, bibilia haijasema kuoa mwisho mmoja, ila kwakuwa mmeshapandikizwa hilo basi huwezi kukubali wala kufuata. Ila ndoa yaruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja. Wakristo wamekuwa wavivu sana kusoma bible, hutokanayo nyumbani hadi kanisani ikiwa imefungwa, au ipo kwapani, hadi ukiingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.