Recent content by sadali wa mchongo

  1. S

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Upimzike kwa amani mzee wangu dereva saibaba ndo ilikuwa michezo yetu hiyo tunashindilia mkaa wa uhakika manga/wami stand ubungo external kwa sista mnashusha mapema tu 12 mpaka 1 kasoro mshaua ndo ilikuwa utaratibu alafu michezo inachezeka mbele ya kituo cha police sista anawamaliza maisha...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi imekwama, nawezaje kufanya sherehe kwa bajeti ndogo isiyozidi milioni 5?

    Mkuu ukiachana na michango ya ndugu jamaa na marafiki wewe umejipangaje kwanza ktk harusi yako
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini hakuna mtu anayeweza kuchunguza Antaktika kwa uhuru, wanatuficha nini?

    Fimbo zipunguzwe hata 3 asubuhi na 3 jioni kwa muda wa miaka mitatu
  4. S

    JamiiForums Tanzania Ishu za Madawa Tanzania mara 100 omba ukamatwe na polisi ila sio DCEA unapotea chap

    Mzee analipia gharama zipi tena....??? Tunaweza kufaidika hapa
  5. S

    JamiiForums Tanzania Ishu za Madawa Tanzania mara 100 omba ukamatwe na polisi ila sio DCEA unapotea chap

    So kila mmoja ana gharama yake Uchawi kufikia bei
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mara ya kwanza kabisa Ali Hassan Mwinyi alivyokutana na Mwl. J. K. Nyerere ana kwa ana

    Cc Lucas mwashamba tlahtlahtlah raraa reree
  7. S

    JamiiForums Tanzania Hongera Azam TV

    Wanastahili pongezi kwa ufanyaji kazi wao wanajitahidi sana Wapambanie uefa then epl tuishi nao zaidi
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kwa yaliyotokea usiku wa fight ya Choki vs Tony , elimu ya masumbwi inabidi itolewe kwa mabondia na mashabiki

    Unachokieleza ni sahihi kumekuwa na mapenzi ktk kuchagua nani awe bingwa kwa jana choki vs tony Walishindwa kufanya fear kama walivyoshindwa kumpata bingwa jana Choki ngumi nyingi zilitua ktk gadi ya tony huku tony round nyingi akitawala mchezo ila ndo maamuzi ya majaji washaamua Angalia...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hivi Vitendo Visivyofaa kwenye mpira wetu vidhibitiwe na vichunguzwe

    Kipindi hiko hajaja mjini yupo kwao chukwani huko Alafu huyo fei huyo ila fureshi kila mtu ashinde mechi zake Kuna siku kaja maskani kuna mdada hayajui maswala ya mipira akaniuliza huyu mwenzenu vipi yupo sawa huyu
  10. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hivi Vitendo Visivyofaa kwenye mpira wetu vidhibitiwe na vichunguzwe

    Kocha zagalo asa yule ndo alikuwa miyayusho kabisa kuna siku tunacheza na timu yake kipindi hiko anafanya mazoezi shekilango tukawafunga nakumbuka jamaa alikuwa anawapakata watoto wa kiume Na kuna kipindi alikamatwa kabisa kwa kashfa hizo ila akatoka ndani ya week Zagalo kila story akipiga...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hivi Vitendo Visivyofaa kwenye mpira wetu vidhibitiwe na vichunguzwe

    Kwa maelezo ya mmoja wa machezaji wa hizi academy kubwa kuna viongozi kama wawili kwa nyakti tofauti walimfata dogo wakamwambia kama anataka kucheza timu ya wakubwa awaachie viongozi waishi nae then atapandishwa ktk viongozi hao mmoja choko mmoja bahasha Tukamkaatalia aachane nao ila kuna...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini nyumba nyingi Tanzania zina mabati marefu?

    Hahaaa hii imetokea mtaa napoishi nyumba mbili zinaangaliana moja ya ghorofa moja ya kawaida lakini hii ya ghorofa imekuwa fupi kwa ya kawaida
  13. S

    JamiiForums Tanzania Hii kampeni OPOWAZ ya tarehe 8/8/2026 ina ukweli wowote?

    Tukimaliza kuwabagua wazinzibari Litaanza battle jipya kabisa wasukuma woooote waludi mwanza na shinyanga wamakonde waludi msumbiji wamasai waende kenya wamanyema waludi kigoma
  14. S

    JamiiForums Tanzania Hii kampeni OPOWAZ ya tarehe 8/8/2026 ina ukweli wowote?

    Huenda tukawa tuna chuki kama wabara na wazanzibari lakini hatua kama hiyo ni uvunjifu mkubwa wa amani ktk nchi hii Kampeni za ajabu kama hizo ni za kukemea kwa nguvu zote sisi ni wamoja siasa na wanasiasa wasifanye tukatoana roho na kulishana sumu za ajabu ajabu kama hizi
Back
Top Bottom