Recent content by sadali wa mchongo

  1. S

    Unafikiri ni kipi kinafanya watu maarufu katika mitandao mingine wakija JF ni underdog?

    Wazee mliambia mnawashwa washwa mkae kwa kutulia Mi siombi radhi ktk hili mkuu
  2. S

    Wanawake wengi wananikataa, nifanyaje ?

    Mkuu ukiachana na mahusiano Kuna mambo mengi ya kufanya kama kijana Ushajalibu bajaji ya mkataba..???
  3. S

    RIP kwa wanetu mliotutoka mngali bado vijana wadogo kabisa

    Alfani bakari Selemani mbegu Abdalah Messi Muddy muzungu sekela addo Na wengine wengi tunaowajua na tusiowajua MUNGU AWAPE PUMZIKO LA AMANI NJIA YETU SOTE NI MOJA
  4. S

    Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

    Mkuu inawezekana ikawa hujapoteza ndugu lakini Kuna watanzania wengi wamepoteza maisha / viungo vya miili Yao Mbaya zaidi hakuna kumbukumbu zozote kuonesha haya ni makaburi ya mashujaa wa 29october
  5. S

    Mungu tunaomba usiruhusu Mauti kwa Dr Nchimbi

    Mkali wa hizi kazi Cc tumainEl
  6. S

    Nicknames maarufu za wana JF

    Kuna hawa macho mdiliko Bujibuji shimba ya buyenze Kiranga Gilesi Mpwayungu village
  7. S

    House4Sale Nyumba inauzwa Kibaha

    Mkuu umenifanya ncheke Kwa sauti kubwa sana
  8. S

    KERO Mashine ya MRI Mloganzila Hospital ni MBOVU

    Astàkafilulah mi nilihisi MRI Moja inagharimu tillion tatu mpaka sita kumbe ni b 3 mpaka 6 Basi mungu nifundishe kunyamaza zaidi
  9. S

    Hebu tujikumbushe kidogo elimu ya mgombea urais wa CCM

    Kuna mqjibu humu mtu unaweza kurusha ngumi
  10. S

    GE2025 Anaandika Boniface Jacob: Hatimaye CCM waanza rasmi kumlilia Tundu Antipas Lissu na CHADEMA!

    Mkuu mwenye kiranga halaliwi matanga Acha inyeshe tuone panapovuja
Back
Top Bottom