Kuna kijana Ana degree ya mechanical engineering yupo tu nyumbani. Wa kiume, miaka 23. Kazi yoyote atafanya Imuingizie Kakipato kadogo akachukue vyeti vyake na kupata na mtaji pia.
Umri miaka 23, yupo Dar. Kimara. Ni mwaminifu sana na anajituma. Kama unaweza msaidia Karibu na Asante!
Urgent wakuu!, plot inauzwa, SQM 400, imejengwa msingi na kisima kipo. IPO 4km from main road, Kiluvya Madukani maeneo ya kwa mhindi-tondoroni.
Ni nzuri sana! Njoo inbox kwa details zaidi. Mil. 7.5 tu!
Docs zote zipo za kisheria na kitaalamu haina udalali!
HATA KWA AWAMU UNARUHUSIWA KULIPA...
Urgent wakuu!, plot inauzwa, SQM 400, imejengwa msingi na kisima kipo. IPO 2km from main road, Kiluvya Madukani maeneo ya kwa mhindi-tondoroni. Ni nzuri sana! Njoo inbox kwa details zaidi. Mil. 8 tu! Docs zote zipo za kisheria na kitaalamu!
Urgent wakuu!, plot inauzwa, SQM 400, imejengwa msingi na kisima kipo. IPO 2km from main road, Kiluvya Madukani maeneo ya kwa mhindi-tondoroni. Ni nzuri sana! Njoo inbox kwa details zaidi. Mil. 8 tu! Docs zote zipo za kisheria na kitaalamu!
Wakuu salaam! Naomba kwa anaejua atanabaishe hints za interview za chemistry/biology/physics teaching methods kwa tutorial assistant interview kwa chuo kama DUCE. Uwa wanauliza nini zaidi? Je, wanauliza kuhusu teaching and leaning methods? Au wanajikita kwenye bio/chem/phys concepts? Mwenye idea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.