Recent content by SACO

  1. SACO

    JamiiForums Tanzania Huu ndio uhalisia, hakuna rais atakae maliza matatizo ya Tanzania

    Ni kweli, ila huyu anaongeza matatizo
  2. SACO

    JamiiForums Tanzania Swaga za Babu Tale zinafikirisha sana. Nachoooka Kabisa.

    Mirinda baridi imetolewa mezani
  3. SACO

    JamiiForums Tanzania Hii ni aina gani ya kuku??

    Huyo na bata mzinga dume
  4. SACO

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ufadhili wa masomo kwa huyu binti

    Anapaswa kuwa shule, tumchangie basi hata kwa kuanzia huko mbele itafahamika, fedha inayohitajika kwa sasa ni kama 320,000
  5. SACO

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ufadhili wa masomo kwa huyu binti

    Ahsante kwa mawazo ndugu
  6. SACO

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ufadhili wa masomo kwa huyu binti

    Ni serious ndugu matokeo yake ni div 1 points 17
  7. SACO

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ufadhili wa masomo kwa huyu binti

    No kwasasa anahitaji msaada wa kimasomo
  8. SACO

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ufadhili wa masomo kwa huyu binti

    Brother hizo documents zingine kuziweka public sio njema, lakini kwa alietayari kumsaidia atatumiwa kila kitu anachohitaji
  9. SACO

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ufadhili wa masomo kwa huyu binti

    Naam, endapo akipatikana alie tayari kumsaidie huyu binti hivyo nitamsaidia kuvipata
  10. SACO

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ufadhili wa masomo kwa huyu binti

    Cheti kidato cha nne anacho, Uthibitisho wa shule aliyosoma upo, Uthibitisho wa shule aliyochaguliwa Arusha EGM upo, WADAU NAOMBA TUMSAIDIE
  11. SACO

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ufadhili wa masomo kwa huyu binti

    Naam changamoto ni nini?
  12. SACO

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ufadhili wa masomo kwa huyu binti

    Nitakachokosa hapo ni hiyo barua from public officer, japokuwa tunaweza kuipata kwani mimi ni jirani yake tu, mambo mengine yote kwa alietayari kumfadili tupo tayari kuthibitisha
  13. SACO

    JamiiForums Tanzania Mimi kama mtanzania Mzalendo nawaasa wa Tz 🇹🇿 tukubali tu

    Wewe unatakiwa kukombolewa kifikra kwanza
  14. SACO

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ufadhili wa masomo kwa huyu binti

    Amehitimu form four mwaka jana kwa msaada wa mfadhili ambae kwa bahati mbaya alifariki akiwa katikati ya masomo, hivyo kafanikiwa kumaliza kidato cha nne kwa kuungaunga tu lakini alifanikiwa kupata division one na kachaguliwa kwenda kusoma kidato cha tano Arusha. Ana mama yake ambaye hana uwezo...
  15. SACO

    JamiiForums Tanzania Nifuge Kuku au Sato?

    Fuga nguruwe hutojuta
Back
Top Bottom