Osama bin Laden ndiye mtu aliyekuwa anatafutwa na USA kwa gharama yoyote, walipomuua Osama bin Laden hawakuwa na sababu ya kuendelea kutumia gharama. Taliban walikuwepo kabla na wameachwa waendelee na mambo yao, maadam Osama hayupo.
Hawa wazungu walikuwa wanakuita ili wakutumie vizuri kupotosha historia ya ukombozi wa Tanganyika. Maana ulishaonekana upo tayari kutumiwa. Wakawa wanakupa maelekezo nini cha kuandika
Sidhani kama ilikuwa inawezekana Wajerumani kuchukua askari kutoka koloni la Wareno Msumbiji au babu yako mmanyema kutoka koloni la wabelgiji kuja kuwasaidia kupigana Tanganyika , wakati kwenye hayo makoloni napo kulikuwa na vurugu. Kuna changa la macho unatupiga hapa.
Hii kwamba Nyerere alipokelewa na Abdul Sykes na akaikuta TANU, hapa umeamua kutumia kalamu yako vibaya kupindisha ukweli sababu ya chuki zako binafsi dhidi ya Nyerere. Unajipa kazi ngumu ambayo huwezi kubadili ukweli.
Ulitakiwa ujue ubora wa mchezaji ili kupata MVP unapimwa kwa kutumia takwimu za mchezaji kwenye NBC Premier league tu, hizo takwimu za kuwafunga ZALAN hazihusiki hapa.
Pili unaposema Mayele aliamua matokeo pekee yake ni kuwakosea heshima wachezaji wengine waliotimiza majukumu yao na kuhakikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.