Tuache kutafuta visingizio kwamba mnafanyiwa figisu na Simba,mpira hauchezwi chumbani,Yanga ukiangalia mechi zake haieleweki hata inacheza mfumo gani,tuwe wakweli timu haiko vizuri na Zahera hawezi kukwepa hizi lawama licha ya mapungufu ya uongozi pia,jaribu tu kuangalia pamoja na Simba kutolea...