MNATARAJIA HAWA WAPOPO WAFANYE FAIR PLAY?
HADI SENZO NA MSUKULE MZUNGU WATAPIGWA MARUNGU TUKO HAPA WAJINGA NYIE HAMNA AKILI MNAZUIA KEY PLAYERS WAO WEEK NZIMA MNATAKA WAO WE FAIR ...
MTOANO HAUNA POINTS TATU ZINAANZIA MAKUNDI AMBAYO HAMNA UWEZO Wa KUFUKA MJIPANGE KUPATA TOP FOUR LIGI YA BONGO MSUBIRI SIMBA IHANGAIKE KUFIKA ROBO FAINALI HUKU MKIIPIGA VITA NA KWENDA KUPOKEA WAGENI AIRPORT
inaboa sana kama hapa nimebakiza vi mb vichache ,naishiwa kabisa kwa hasira nakumbuka hizo gb 3.6 walizoniibia 2 weeks ago inauma sana haswa ukizingatia hakuna hata chombo cha kusaidia consumers maana TCRA haya ya hawa jamaa ni kama hawayaoni
hapana issue yangu ni kwamba nilijiunga jumapili nikaambiwa weekend pack inatakiwa ianze jumamosi so wakasema itafanya kazi next saturday sasa hadi leo imeshindikana na kurudisha hela wamekataa..issue ni ya kuanzia tarehe 25 june,kwenye simu kiukweli customer care wana lugha nzuri kweli lakini...
ninazo tatu,sababu wao husema wanarekodi wateja kwa kuboresha huduma na mimi pia nilirekodi,ila kama sio dharau basi HALOTEL VAS wanahitaji msaada wa watu wanaoweza ku respond haraka na ku solve matatizo madogo kwenye computer sio kitu kidogo kuambiwa nenda ofisini kwetu sasa kama kama mzee...
kwa namna yote nityalifikisha hili suala mbali,nitajaribu pia kuwaandikia TCRA ingawa sote tunajua hawajali sana mambo haya maana wangekuwa wanajali hali ya upuuzi ya haya makampuni ya simu isingefikia hapa
nalifikiria hilo,namcheki rafiki yangu kamaliza chuo mambo ya sheria(sijui kama ataruhusiwa ku practice,iama not sure) anisaidie nijitoe muhanga ili wengine wasije onewa tena,nitawafikisha mahakamani kwa ajili ya hiyo tshs 3,000 ushahidi ninao
inauma sana Jose,uwezo wao kutatua tatizo ni mdogo sana,mtu anakuambia ndiyo tunaona hapa kwenye computer lakini nenda ofisi yetu iliyo karibu nikiangalia nauli ni sh 2,000. sasa si uniunge tu kifurushi kingine au urudishe 3,000 yangu wananiambia haiwezekani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.