Niliyoyaona katika mechi ya Yanga vs Rivers United

Kilenzi _Jr

JF-Expert Member
Sep 10, 2021
301
1,110
Binafsi nimeona haya

Mosi:
Yanga walianza kucheza kimasihara, na kuwachukulia poa Rivers united, walicheza kama vile wanacheza ndondo.

Nilirudi sasa kwenye ufundi

Rivers walianza na Viungo 5 wenye uwezo mkubwa wa kukaba.

Yanga ilianza na kiungo mkabaji mmoja ambaye ni Zawadi Mauya, na Tonombe akacheza kiungo wa juu, kadili muda ulivyokuwa unazidi kwenda ndivyo Tonombe alivyokuwa anaikimbia namba 8 na kurudi kuwa kiungo wa chini nakusababisha kukosa kabisa Muunganiko wa kati.

Kutokana na hali hiyo, Rivers wakazidi kutawala eneo la kati na wakawa wazuri kukaba njia za mpira zote za yanga.

Bado beki zetu za pembeni hazina uwezo mkubwa wa kupandisha mashambulizi ya kiutu uzima, pia beki za kati zinakosa umakini katika kuanzisha mashambulizi.

Foward yetu ilikosa umakini kidogo kutokana na hali ya presha kuwa juu na pia jamaa walikuwa wameshawasoma yanga wanapenda kutumia mipiraa ya juu wakawa makini sana kublock na kuzuia njia za fowad na vile kiungo wetu walipotea basi ngoma ikadunda jumla.

Asante sana goal keeper

Lakini mechi ijayo Weka

Bangala, Nondo, wamnyeto, ibwana, Mauya, Mukoko, Feisali, Kaseke, Jesus.
Yaccouba.

Unanza na 4-5-1,unakimbiza kwelikweli

Then ukipata goal moja

Unaingiza: Anti-biotic, farid, makambo na adyeum

Mfumo unakuwa 3-5-2

Yaani bangala, Mwamnyeto, Job

Kibwana na adyum wanasogea juu kuongeza nguvu, yaccouba na feisali wanakuwa wawili pale mbele.

Mbona tunavuka chap tuu
 
Yanga walifanya vitu vingi sahihi Ila walikosa bahati ya kufunga nafasi walizo tengeneza. Kinacho hitajika ni umakini katika kufunga. Udhaifu wa Yanga ni ku zuia mipira iliyo kufa.
 
Binafsi nimeona haya

Mosi:
Yanga walianza kucheza kimasihara, na kuwachukulia poa Rivers united, walicheza kama vile wanacheza ndondo.

Nilirudi sasa kwenye ufundi

Rivers walianza na Viungo 5 wenye uwezo mkubwa wa kukaba.

Yanga ilianza na kiungo mkabaji mmoja ambaye ni Zawadi Mauya, na Tonombe akacheza kiungo wa juu, kadili muda ulivyokuwa unazidi kwenda ndivyo Tonombe alivyokuwa anaikimbia namba 8 na kurudi kuwa kiungo wa chini nakusababisha kukosa kabisa Muunganiko wa kati.

Kutokana na hali hiyo, Rivers wakazidi kutawala eneo la kati na wakawa wazuri kukaba njia za mpira zote za yanga.

Bado beki zetu za pembeni hazina uwezo mkubwa wa kupandisha mashambulizi ya kiutu uzima, pia beki za kati zinakosa umakini katika kuanzisha mashambulizi.

Foward yetu ilikosa umakini kidogo kutokana na hali ya presha kuwa juu na pia jamaa walikuwa wameshawasoma yanga wanapenda kutumia mipiraa ya juu wakawa makini sana kublock na kuzuia njia za fowad na vile kiungo wetu walipotea basi ngoma ikadunda jumla.

Asante sana goal keeper

Lakini mechi ijayo Weka

Bangala, Nondo, wamnyeto, ibwana, Mauya, Mukoko, Feisali, Kaseke, Jesus.
Yaccouba.

Unanza na 4-5-1,unakimbiza kwelikweli

Then ukipata goal moja

Unaingiza: Anti-biotic, farid, makambo na adyeum

Mfumo unakuwa 3-5-2

Yaani bangala, Mwamnyeto, Job

Kibwana na adyum wanasogea juu kuongeza nguvu, yaccouba na feisali wanakuwa wawili pale mbele.

Mbona tunavuka chap tuu

Inasemekana aliyetumwa kupulizia alikosea akapuliza chumba cha Yanga, waliposhituka ndio wakaenda wakapuliza na kuzidisha dozi cha Rivers, lakini jamaa wakagoma kuingia baada ya search party kukutana na harufu kali vyumbani... Yanga wao waliingia walaewa wao sasa. Msifuate ushauri wa Haji anawapoteza.
 
Inasemekana aliyetumwa kupulizia alikosea akapuliza chumba cha Yanga, waliposhituka ndio wakaenda wakapuliza na kuzidisha dozi cha Rivers, lakini jamaa wakagoma kuingia baada ya search party kukutana na harufu kali vyumbani... Yanga wao waliingia walaewa wao sasa. Msifuate ushauri wa Haji anawapoteza.
Mmmmmh ya kweli hayo
 
Binafsi nimeona haya

Mosi:
Yanga walianza kucheza kimasihara, na kuwachukulia poa Rivers united, walicheza kama vile wanacheza ndondo.

Nilirudi sasa kwenye ufundi

Rivers walianza na Viungo 5 wenye uwezo mkubwa wa kukaba.

Yanga ilianza na kiungo mkabaji mmoja ambaye ni Zawadi Mauya, na Tonombe akacheza kiungo wa juu, kadili muda ulivyokuwa unazidi kwenda ndivyo Tonombe alivyokuwa anaikimbia namba 8 na kurudi kuwa kiungo wa chini nakusababisha kukosa kabisa Muunganiko wa kati.

Kutokana na hali hiyo, Rivers wakazidi kutawala eneo la kati na wakawa wazuri kukaba njia za mpira zote za yanga.

Bado beki zetu za pembeni hazina uwezo mkubwa wa kupandisha mashambulizi ya kiutu uzima, pia beki za kati zinakosa umakini katika kuanzisha mashambulizi.

Foward yetu ilikosa umakini kidogo kutokana na hali ya presha kuwa juu na pia jamaa walikuwa wameshawasoma yanga wanapenda kutumia mipiraa ya juu wakawa makini sana kublock na kuzuia njia za fowad na vile kiungo wetu walipotea basi ngoma ikadunda jumla.

Asante sana goal keeper

Lakini mechi ijayo Weka

Bangala, Nondo, wamnyeto, ibwana, Mauya, Mukoko, Feisali, Kaseke, Jesus.
Yaccouba.

Unanza na 4-5-1,unakimbiza kwelikweli

Then ukipata goal moja

Unaingiza: Anti-biotic, farid, makambo na adyeum

Mfumo unakuwa 3-5-2

Yaani bangala, Mwamnyeto, Job

Kibwana na adyum wanasogea juu kuongeza nguvu, yaccouba na feisali wanakuwa wawili pale mbele.

Mbona tunavuka chap tuu
Una vyeti gani mkuu?
 
Binafsi nimeona haya

Mosi:
Yanga walianza kucheza kimasihara, na kuwachukulia poa Rivers united, walicheza kama vile wanacheza ndondo.

Nilirudi sasa kwenye ufundi

Rivers walianza na Viungo 5 wenye uwezo mkubwa wa kukaba.

Yanga ilianza na kiungo mkabaji mmoja ambaye ni Zawadi Mauya, na Tonombe akacheza kiungo wa juu, kadili muda ulivyokuwa unazidi kwenda ndivyo Tonombe alivyokuwa anaikimbia namba 8 na kurudi kuwa kiungo wa chini nakusababisha kukosa kabisa Muunganiko wa kati.

Kutokana na hali hiyo, Rivers wakazidi kutawala eneo la kati na wakawa wazuri kukaba njia za mpira zote za yanga.

Bado beki zetu za pembeni hazina uwezo mkubwa wa kupandisha mashambulizi ya kiutu uzima, pia beki za kati zinakosa umakini katika kuanzisha mashambulizi.

Foward yetu ilikosa umakini kidogo kutokana na hali ya presha kuwa juu na pia jamaa walikuwa wameshawasoma yanga wanapenda kutumia mipiraa ya juu wakawa makini sana kublock na kuzuia njia za fowad na vile kiungo wetu walipotea basi ngoma ikadunda jumla.

Asante sana goal keeper

Lakini mechi ijayo Weka

Bangala, Nondo, wamnyeto, ibwana, Mauya, Mukoko, Feisali, Kaseke, Jesus.
Yaccouba.

Unanza na 4-5-1,unakimbiza kwelikweli

Then ukipata goal moja

Unaingiza: Anti-biotic, farid, makambo na adyeum

Mfumo unakuwa 3-5-2

Yaani bangala, Mwamnyeto, Job

Kibwana na adyum wanasogea juu kuongeza nguvu, yaccouba na feisali wanakuwa wawili pale mbele.

Mbona tunavuka chap tuu
Kwa hiyo benchi ya Rivers itakuwa haipo ?
 
Kwa Adeyuni hapana aisee. Yule sijui amepataje nafasi ya kucheza Yanga,ni beki mweupe mnooo! kwa miaka mingi sasa Yanga inachemka sana kwenye usajili wa beki wa kushoto. Angalau kulia wanajitahidi.
 
Back
Top Bottom