sasa navy kenzo hiyo kamatia chini chorus peke yake ndo ya kiswahili ila verse zote zina lugha ngeni tu nafikiri ni melody kiukweli mziki hauna lugha pia kwa V money ni suala la wakati tu maana hata kina nahreel wana nyimbo nyingi hko nyuma
jamaa itafute "free weezy album" iliyotoka kupitia tidal imekua downloaded 10mil times humo ndani kuna nyimbo kama without you kaimba na bibi bourley na my heart races on ft Jake troth utaamini kua lil Wayne bado ana uwezo wa kuandika na kutoa a classic album
ukijiongeza utafahamu kuwa rockstar ni moja ya kampuni mama za Sony pia alikiba sio msanii mdogo na hiyo deal ni globally soma kwenye source magazine wameandika hiyo issue kwa upande Wa alikiba mwenye mashabiki wengi east Africa hii itamsaidia sana ukiwa serious
Habari! Juzi Mshkaji wangu alipata email ya Kwenda kufanya interview ya "Sales Executive" VODACOM Co. Mlimani.
Lakini alipofika hakukuwa na interview cha kwanza na pili kulikuwa na maelezo ya kazi nyengine ya "sales agent" na sio executive kama ilivyoainishwa kwenye email watu wameambiwa tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.