Ndugu wana JF,
Iwa muda mrefu nimekuwa nikiona viongoz wa juu wa CHADEMA kama viongozi wandamizi na wabunge wakifanya ziara za kichama sehem mbalimbali, lakini kuna sehem au mikoa wanaenda zaidi ya mara tano kwa mwaka lakin mikoa mingine mara moja tu kwa mwaka hasa zile sehem ambazo hazina...
jaman mim mtaimbo wang unasimama dakika chache na kusinyaa kwa muda mfupi tu, hata kama nina demu bado hali ni hiyo hiyo. jamani nisaidie hali hii inasababshwa na nini? na nifanye nini kuondoa hali hii?
utafiti wake ni wa kinafiki,kwan hajaeleza vitu kwa facts kuwa kwa nini haiwezekani kushusha bei za vitu. atakuwa anatumiwa na ccm ndo tatizo la wasomi wetu wanashindwa kueleza ukweli na uhalisia wa mambo,kazi yao kusifia uozo na upumbavu wa tabaka tawala tu.
harakati za ukombozi wa tanzania zinaenda vizuri,kwa mafanikio yanayoonekana kwa upinzani ktk uchaguzi huu.ccm hali ni mbaya sana kwani tumechukua kata nyingi zilizokuwa chini yao. viva cdm
ubabaishaji huu katka utawala wetu unapaswa kuondoshwa, hakuna sekta ambayo kuna unafuu wa mambo. watanzania tutafakari kwa undani kama watu hawa wanasifa ya kuwapa uongozi tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.