Utata wa hii dunia uko hapa.Wakati wapo wengi watakaokuwa wanaomba na kufanya juhudi kuzuia matukio kama ya westgate,wapo ambao maombi yao ni kinyume....,jiulize jirani yako maombi yake siku za ibada ni yapi?
Mkuu Yeriko, kwanza niwasahahishe wale waliokupongeza kwa kuumiza kichwa kufanya utafiti huu.Mimi nakupongeza kwa kuumiza roho ndiko kilikopelekea kuandika thread hii.
'Utafiti' wako unaweza kujumishwa kwa maneno mafupi kuwa
Idadi ya waislam ni kubwa kuliko wakiristo katika Tanzania lakini...
Hili ni janga kwa taifa letu.hatuhitaji matokeo ya mitihani kujua ubora wa elimu yetu.hii ni dalili iliyo wazi kabisa kuwa shule na vyuo vyetu ni "vijiwe" vya kukuzia umri.nahofia sana mustakbali wa taifa langu!
Nafikiri kozi(mafunzo) ya udhalilishaji yaliyokuwa yakitolewa na askari kwa raia yamefika tamati na wahitimu(raia) wapo tayari kutekeleza mafunzo waliopata kwa vitendo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.