Usiogope wala usifadhaike kila likuepukalo una kheri nalo, mshukuru Mungu huenda kuna kitu amekuepusha nacho, majaribu ni daraja la kwenda kwenye mafanikio, ww achana nae nenda zako chuo huko utakutana na watu wapya ndio utapata wako, huyo c mpango wa Mungu, tena hapo umepata somo ukipata dem...
Tena kuwa makini wenzako wamenyang'anya wake za watu, kuna jmaa namjua na usomi wake kachukua mke wa ndg yk tena alikuwa na watoto 3, na yy kazaa nae ni vituko cjawahi ona, !!!!!
Nawapongeza wote mlliokubaliana na maneno ya Mungu,, ndio maana alisema wamacho lkn hawaoni, wanamasikio lkn hawasikii, hao ni udongo wanabishan na mfinyanzi, Yesu aliisema walio wng wananijua, tuzidi kuwaombea
Soma yeremia 33:3, zbr 125, nenda knsn toa sadaka ya shukrani Mungu aingilie kati, usiogope wala usifadhaike, yohana 14: 1_6, kwa Mungu yote yanawezekana
Huyo mamvi wako mbona alienda tandale, na alipanda daladala, kwa nn asifanye hayo akiwa waziri mkuu? ikulu mtaisikia tuuu, subiri tar 25 ndio utajua kilichomtoa kanga manyoya
Hapo chacha, watu wa mjini wako ki ushabiki zaid, hawatembei vijijini hawamjui lowasa, yeye. Anaishia mjini kwa washabiki tena inawezekana hy kadi za kupigaa kura hawanna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.