hapo kwenye andare G7 ni ipi mkuu? maana najua andare latest version ni G6 ,alafu marcopolo zilizokua zimeagizwa kutoka brazil ilikuaga scandnavia na royal tuu, hao kina hood abood, klm na dar exp wanachukulia SA ambao ndo wana assemble tuu kwa kutumia parts from china
bado abood ana polo nyingi sana usiangalie alizouza ukitaka kuziona fika yard pia hesabu na zilizoko njiani ndo mana nakuambia new force hawez mziki wa abood ni mnene
abood na bm hawataweza kuathirika hata kidogo maana abood mpk sasa anagari za kichina zaidi ya 35 alianza kuagiza zile single zenye namba T***DBV zipo kama 18 akaletayutong terious mwaka jana za kichina 20 alafu bado ana marcopolo kama 16. Bm nae yupo njema ana gari za kutosha
marcopolo ni body builder ilianzishwa brazil baadae nchi kama china na india wakaomba watengeneze under licence wakakubaliwa hizi marcopolo zote unazoziona bongo bodi zake zimeundwa china alafu wanapeleka south Africa ndo mteja atachagua iwekwe chasis ya scania au benz au volvo, zile marcopolo...
new force ni wakala wa zhongtong tuu, ila ukitaka yutong unaweza kwenda kununua kwa wakala wao anaitwa benbros motors, au waweza agiza kutoka china moja kwa moja, kampuni kama shabiby na superfeo wanaagiza china moja kwa moja pia hata baadhi ya watu mmoja mmoja huagiza china
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.