Recent content by S0361

  1. S

    Rais wa TAHLISO atengua uteuzi wa Naibu Kamishna wa Kamisheni ya Mikopo na Ufadhili

    Huyo anajizima data tu. Kwani hadi HESLB walitoaga ufafaanuzi juu ya hii kero endelevu ya wanafunzi wa UDSM inamaana yeye hakuona malalamiko hayo tangu mwezi July/August? Mbona kuna uhalisiaaa na tunaumia sisi lakini linapokuja suala kama hili badala mfuatiliee kwa kina bali mnatoa jibu la...
  2. S

    Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303

    Congratulations RAIS WA DUNIA tulia AKSON katimize wajibu ila sikiliza sera za nchi wanachama wa Africa 🌍
  3. S

    DOKEZO Kero yangu kuhusu utaratibu wa 'refund' kwa Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology (DIT)

    Yaani tatizo bado ni kubwa sana katika vyuo vyetu hasa UDSM na matawi yake, Udsm main campus walituambia uongozi wa idara ya fedha unashughulikia pesa za refund tar 7 July 2023, kusudi likizo inapoanza tar 24 July basi pesa refund ziwe tayari, lakini mwishowe tunadanganywa kwa kupewa calenda za...
Back
Top Bottom