Recent content by s007

  1. S

    LGE2024 Arusha: Wagombea 9 wa CCM waenguliwa kwenye mchakato wa Serikali za Mitaa kwa kukosa sifa

    Huo ni usanii, walipewa vipi form za kugombea nafasi hizo katika mitaa ambayo haitambuliki? Msitufanye wote ni wajinga.
  2. S

    Padre Titus Amigu anasema muda huu kupitia Radio Maria kuwa viongozi wakuu wa nchi wanajua wauaji ni akina nani

    Amenena ukweli, ila habari kama hizi Bibi Chura Kiziwi na genge lake hawataki kuzisikia, chonde chonde Allah amuepushe Padre huyu na mabaya kutoka kwenye makucha ya genge hili dhalimu.
  3. S

    Nilivyotongozwa na msichana Baa

    Hii habari ni ya hadithi isiyo na ukweli kwani Ina maelezo ya kufikirisha.
  4. S

    The return of Makonda, GSM wanajisikiaje?

    Kwa ukubwa gani aliokuwanao huyo Bashite wa kumtisha GSM au Chadema?
  5. S

    Makonda: Sitamsaliti Hayati Magufuli hata niwekewe bastola

    Haishangazi, Team Magufuli
  6. S

    Rais Samia Ashiriki Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika jijini Riyadh, Saudi Arabia

    Sema mama yako. Wengine kwetu huyu ni Bibi, ameshapita umri wa kumwita mama.
  7. S

    Mbeya: Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya Mdude na Mwabukusi, yasema yanalenga kuhatarisha usalama

    Huo n utaratibu wa kawaida ili kuthibitisha kwamba taratibu zote sahihi zimefuatwa.
  8. S

    Namba hazidanganyi, Mpina hastahili kuwa mbunge, Uelewa wake ni mdogo sana

    Wizi ni wizi tu bila kujali umeiba kwa mafungu au kwa mkupuo.
Back
Top Bottom