BAMBA TO BAMBA
Hii ni Zaidi ya Bodi mpya
BODI HALALI YA CUF YAPOKEWA MAOMBI KWA RISITI NA 14995179 BAADA KULIPIWA NMB BANK
Baada ya Kikao cha Baraza Kuu kufanya Uteuzi wa Wajumbe wa Bodi hapo Jana, na Bodi yenyewe kufanya Kikao chake cha Kuchagua Viongozi wake, leo Viongozi wa Bodi hiyo...
BAMBA TO BAMBA
Hii ni Zaidi ya Bodi mpya
BODI HALALI YA CUF YAPOKEWA MAOMBI KWA RISITI NA 14995179 BAADA KULIPIWA NMB BANK
Baada ya Kikao cha Baraza Kuu kufanya Uteuzi wa Wajumbe wa Bodi hapo Jana, na Bodi yenyewe kufanya Kikao chake cha Kuchagua Viongozi wake, leo Viongozi wa Bodi hiyo...
Lipumba ni mwanasiasa mkweli na mpenda haki ,kitu ambacho wanasiasa wengi hawana...
Wanacuf wa tanganyika na baadhi kutoka visiwani wanalitambua hili ndio maana wanampenda na wanamtaka arudi ktk nafasi yake
Tamko la jumuiya ya wazee CUF-Wilaya ya Temeke juu ya Prof. Lipumba kurudi katika uongozi.
Mnamo 17/06/2016 kamati ya uogozi ya CUF taifa ilitoa tamko, iliyo ipa kichwa cha habari “kauli tata ya Prof. Lipumba kuhusu kurudi ktk nafasi yake ya uenyekiti wa taifa” baada ya kuipitia taarifa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.