Mahweso
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 1,098
- 1,501
Hivi Polisi kabisa mnafikiri wafuasi wa Lipumba ndio wanaweza kufanya Vurugu kwenye mikutano ya Seif na wafuasi wa Seif hawawezi? Au nia yenu wapambane wao kwa wao?
CCM, Polisi Mungu anawaona mnachokifanya
Kama Lipumba mnamlinda kwenye mikutano yake na Seif mnamzuia hapo hata chizi anajua huu Mgogoro unatengenezwa na Serikali ya CCM.
CCM, Polisi Mungu anawaona mnachokifanya
Kama Lipumba mnamlinda kwenye mikutano yake na Seif mnamzuia hapo hata chizi anajua huu Mgogoro unatengenezwa na Serikali ya CCM.