Recent content by Ryan The King

  1. Ryan The King

    Msaada: Naomba kujua zilipo Ofisi za Mganga mkuu(RMO) Mkoa wa Dar es salaam

    Hello! Kama kichwa kinavyojieleza, hivi hizi ofisi ziko wapi? Natanguliza Shukrani
  2. Ryan The King

    SoC03 Tutapata wapi viongozi bora wenye maadili?

    Unajua kuwa Maadili ya nchi moja yanaweza yasiwe Maadili ya nchi nyingine. Katika Ulimwengu wa utandawazi huoni kama hiyo inaweza kuwa changamoto. Mfano, Kwa mfano mapenzi Kwa jinsia moja Kwa baadhi ya nchi sio maadili mazuri Wakati nchi zingine ni Maadili. Hii unazungumziaje? Ndio maana...
  3. Ryan The King

    SoC03 Tutapata wapi viongozi bora wenye maadili?

    Mada ni nzuri. Swali langu👉👉 Nani anaamua kuwa haya ni Maadili Mema na haya sio Maadili Mema? Vigezo gani vinatumika?
  4. Ryan The King

    Upo wapi Anneth Benidicta?

    Ni Kwa vile wewe labda sio mwanaume, Men we have True love that never Die
  5. Ryan The King

    Upo wapi Anneth Benidicta?

    Nampenda Anneth Mkuu.
  6. Ryan The King

    Upo wapi Anneth Benidicta?

    🙏🏾🙏🏾🙏🏾
  7. Ryan The King

    Upo wapi Anneth Benidicta?

    Mkuu nipo Sirius, fanya msaada tafadhali
  8. Ryan The King

    Upo wapi Anneth Benidicta?

    Yupo wapi Mkuu, Nipo Sirius Sana katika hili. Mwambie Mick anamtafuta, hivyo tuu najua atafanya jitihada
  9. Ryan The King

    Upo wapi Anneth Benidicta?

    Anaitwa Anastasia Benidicta Ila alikuwa anapenda nimuite Aneth, Nimemkumbuka Sana Mpenzi wangu. Popote Ulipo Aneth, nakuomba ujitokeze, najua umeolewa lakini nataka nikuone tuu roho yangu itulie
  10. Ryan The King

    Upo wapi Anneth Benidicta?

    Hi! 2014 ulinipenda pasipo chochote, sikuwa na kitu lakini hukujali, ulinipenda na umasikini wangu, licha ya kuwa ulikuwa mrembo Sana, Nimekumbuka sauti yako nyororo na macho yaliyolegea. Ulinichagua katika ya wanaume wengi walionizidi sifa za kihadhi, kifedha na hata kielimu. Popote Ulipo...
  11. Ryan The King

    Hii hela ya Field tunayotoa Watu wa Diploma mbona ni kama wizi

    Unaongea kama mtu mwenye funza kichwani
  12. Ryan The King

    Hii hela ya Field tunayotoa Watu wa Diploma mbona ni kama wizi

    Mbona MD hawalipii wakienda Field/internship ?? Au unaongea usiyoyajua??
Back
Top Bottom