Recent content by Rwegasira2

  1. R

    Wapinzani Tukipewa serikali tutaanzisha kodi mahususi kwa mambo mawili

    Hivi Mnao beza matokeo ya ufaulu wa shule binafsi na za serikali mnawaza nini serikari inabeba wanafunzi wote wa uelewa wa mwisho kati n.k shule binafsi wanachuja wanachukua bright tu kuna shule mwanao ili ajiunge lazima afanye mtihani na afaulu 90 and above kama tunataka ushindani fare wizara I...
  2. R

    Hivi aliyeufanya Urais kuwa mwepesi ni nani?

    Aliyeufanya urais kuwa mwepesi ni nani? au ni ktk hawamu hipi? Imekuwa kwaida now watu kutabilia watu kugombea urais au baadhi ya watu kujipambanua kugombea urais. Kama Taifa tunataka kufika mbali au kupiga hatua tuione hii nafasi inahitaji MTU mwenye maono uthubutu confidence, competent...
  3. R

    Rais Magufuli, unaogopa nini kwa Membe?

    Kweli ujijui si ajabu ata jinsia yako huijui
  4. R

    Kesi ya chadema itatusaidia kujua iwapo mgonjwa alielazwa hospitali anaweza kutoka na kufanya ziara bara moja hadi jingine kisha arejee hosp

    KESI YA CHADEMA ITATUSAIDIA KUJUA IWAPO MGONJWA ALIYELAZWA HOSPITALI ANAWEZA KUTOKA NA KUFANYA ZIARA BARA MOJA HADI JINGINE KISHA AKAREJEA HOSP: Imethibitika pasina shaka kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kinakusudia kufungua kesi Mahakama kuu ikiwa ni hatua ya kupinga mbunge...
  5. R

    DAR: Licha ya RC Makonda kusema atakayenunua Makontena yake atapata laana kali, Waziri Mpango aagiza yapigwe mnada

    Hii ni poul Makonda not RC against wizara ya fedha sio mamlaka mbili za uteuzi kulumbana ni mamlaka v/s mtu binafsi ambaye alishapewa utaratibu lkn hajafata Sent using Jamii Forums mobile app
  6. R

    Jina la Magufuli labamba Uingereza: Ukumbi mzima wa Chuo Kikuu cha Coventry wazizima baada ya kusoma jina la muhitimu kutoka Tanzania.

    Maprofesa wa Chuo Kikuu cha Coventry nchini Uingereza, wakiongozwa na Mkuu wa Chuo, Irene Glendinning, pamoja na Ukumbi mzima, ulizizima wakati jina la Mtanzania aitwaye Dk. John Pima lilipotajwa wakati wa Mahafali ya wahitimu wa Kozi ya Uzamivu wapatao 11 waliotoka katika Mataifa tisa duniani...
  7. R

    Maprofesa wa Chuo Kikuu cha Coventry nchini Uingereza, wampongeza Magufuli

    Rais wetu anakubalika kimataifa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. R

    Maprofesa wa Chuo Kikuu cha Coventry nchini Uingereza, wampongeza Magufuli

    Maprofesa wa Chuo Kikuu cha Coventry nchini Uingereza, wakiongozwa na Mkuu wa Chuo, Irene Glendinning, pamoja na Ukumbi mzima, ulizizima wakati jina la Mtanzania aitwaye Dk. John Pima lilipotajwa wakati wa Mahafali ya wahitimu wa Kozi ya Uzamivu wapatao 11 waliotoka katika Mataifa tisa duniani...
  9. R

    Chongoleani, Tanga: Rais Magufuli na Museveni waweka la jiwe la Msingi mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima - Tanga

    Labda kama hawakusema lkn kama walisema kweli kuna haja gani kuficha Sent using Jamii Forums mobile app
  10. R

    Escrow: Kilaini, Ngeleja, Tibaijuka, Naiko kila mtu anena lake. Wengine hawajui wamrudishie nani

    Maombi dua na barka za mchakato mzima Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
  11. R

    Waafrika hatuelewi maana ya Upinzani (Siasa)!

    Sasa wabunge wakigoma wa upinzani naye si atagoma
  12. R

    Ni kwanini Lowassa ni maarufu kuliko CHADEMA na Mbowe?

    Hivi mtu uliekaa naye akaondoka kwa uzuri na mtu alie acha amekuibia na kukutia umasikini ni nani hutomsahau au kuacha kumzungumzia kwa haraka .
Back
Top Bottom