sasa wakuu mdogo wang ana D 3 ya eng,geo na civ ana C 1 ya histry na B ya kisw mi namshauri arudie ili apate crdt ya kumwezesha kufanya mtihan wa six,ushauri wenu pls.
ukwel matokeo hayajabadilika popote mi cjui kulikuwa na haja gani ya kuganga tena,imeniuma mdogo wang aliresit akapata c moja na d mbili japo alikuwa anatafuta c mbili ajab kimekuja litu kilekile,cjui ni kwa nin serikal inatupotezea muda bure...
Hakuna cha kututoa kwenye haya majanga ya ufisadi kwa kutetea kila uchafu unaofanywa na serikal ya maccm, ni kwa nin usiitumikishe akil yako ili utambue ni kitu gani umetendewa na serikal hii kama c kuibiwa kila kukicha! Oooooh mungu wang ningepata muda mchache wa kuongea nawe ningeomba...
WOw!pasco unaakili wew yaan uko sawa kabisaaaaaa hawa ndg wanakosa ucngz kwa majembe ya cdm,wapumzishwe akil kdogo,pole sana usie elewa,magamba mtaielewa tu picha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.