Recent content by ruthkami

  1. R

    TB Joshua akutana na viongozi wa UKAWA

    Huyo ni mtumishi wa Mungu wanaowaibia rasilimali zenu hamuwaoni na mko nao huyu ni mgeni hapa tz.amewabana nini?
  2. R

    Ccm: Hii kata kata ya umeme dar, mnazidi kujifunga goli la kisigino.

    Hata geita ndo kazi ya kukatakata kama kumi hivi na ni giza jumla!
  3. R

    Happening now: CCM wazomewa Dar

    Wastaarabu kama nape na bulembo!
  4. R

    Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Kahama - Septemba 25, 2015

    Huku geita walisomba watu kutoka wilaya zote ili kujaza uwanja ni hatari
  5. R

    Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

    Na mimi
  6. R

    UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    Naunga mkono hoja
  7. R

    Rais Kikwete: CCM hainunuliki, vile vile Watanzania wengi hawanunuliki

    Huku geita mwimbaji wa wanawake na maendeleo aligawa baiskeli zaidi ya 200 ili achaguliwe kura za maoni.
  8. R

    Kikwete: Picha za mafuriko ya UKAWA ni za kutengeneza

    Aiseeeeeeee!huyu presidaa ana matatizo
  9. R

    Tofauti ya mapokezi ya Lowassa Airports akiwa CCM na akiwa CHADEMA

    Hao mnaotusema wa ajabu ndo hicho chama cha cc kimetufikisha halafu nawashaangaa kutuita wa ajabu wote ni binadamu sidhani hao wakubwa wanakunya kwa kutumia mdomo au?
Back
Top Bottom