Katika vitu alivyotuachia nyerere na kufanya kazi yake kwa ufanisi kila kukicha ni jwtz. Tunajivunia kwa hilo. Baada ya congo , natamani kagame achokoze kidogo 2, ili amepigwe kwa upande wa east na west mpaka achanyikiwe. Nahofia uchumi wetu 2 kuyumba kama ya 1978!
tz hatuna woga wowote, kuwa makini katika kulinda maslahi yetu ya kitaifa ndiyo kunawauma na kuruka na hasira hiyo kwani walichotegemea wanaona kinachelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.