Mtoa mada anahisi break zimekatika. Lakini huenda ikawa siyo bali ni fujo tu za dereva.
Hata hivyo, kama wahusika wakijua wanaweza hata kutoa taarifa kwa askari wa usalama barabarani wakajua cha kufanya.
BTW.
Mtoa mada mnaendeleaje?!
Maskini Tanzania!!?
Hawa ndio viongozi wetu. Badala ya kuhubiri umoja yeye anadhihirisha ubaguzi waziwazi!!
Kwa hali hii, maendeleo tutayasikia kwenye bomba...
Inapendeza zaidi ikiwa hivi.
Ila tatizo hawa vima sijui wanatoa wapi utaalam wa kudhibit vidume vyao. Unakuta jibaba likiwa home uanamme uko wakati wa tendo tu.
Ili umchukie vizuri, tupa kila kitu cha keteknolojia ambacho tafiti za kimarekani zimechangia kuundwa kwake.
Umetulia kwenye internet waliyounda wao kisha kelele nyiiingi eti unamchukia. What a shithole are you, Idiot.
Bado tunatofauti kubwa kimfumo, mfano umiliki wa ardhi ampapo Tz ni mali ya Rais na kwa wenzetu kila mtu na chake.
Ili kufikia muungano, tungeachia madaraka ya baadhi ya rasilimali ziwe chini ya states (sijapata kiswahili chake).
Ninamaanisha kwamba.
Tuwe na Federation of East Africa.
Kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.