Recent content by RUTATINA

  1. R

    Muswada wa Mahakama ya Kadhi kutikisa Bunge

    Si halali kwa TANZANIA kuwa na sheria za kidini kwani serikali haina dini. Lazima tufililie mbali, je na wakristu wakiibua madai yao itakuwaje?
  2. R

    Nimeichangia CHADEMA wewe je?

    CHADEMA ni mpango wa Mungu! nitachangia tarehe kumi, mwezi huu! jamani tukichangie chadema, ukombozi unakaribia!
  3. R

    Butiku atema nyongo asema CCM inafuga majambazi, majangili na mafisadi

    Ee Mwenyezi Mungu Mwingi Wa Rehema, Mwongezee Siku Za Maisha Ya Hapa Duniani Huyu Mzee Wetu Ili Aweze Kuona Mabadiliko Na Kushuhudia Anguko La Ccm! Amina
  4. R

    Makubaliano Ya UKAWA; Nina Maoni Yangu Nayaweka Jamvini...

    UKAWA wamepiga hatua ambayo kila mtanzania anayeitakia mema Tanzania Lazima Aunge Mkono Maamzi Haya. Hata Hivyo Ndo Maana Hoja Kama Hii Ya Mjengwa Inaibuka! Vibaraka Wa Ccm Wamechanganyikiwa Wakiwaza Watafanya Nini Utengua Msimamo Wa Wapinzani! Tutasikia Mengi, Ila Ukawa Ndo Habari Yenye...
  5. R

    Tourcher and suffering at St Joseph Songea

    My members of jf I'm here by to let you know how students at St Joseph Songea center are living. Generally the relationship between students and college administration has turned fight. Students fund for second batch have never been known when and how to be obtained. In other colleges and...
  6. R

    Hali yaendelea kuwa mbaya st joseph songea!!

    Ndugu wa na jf hili life chip la Wahindi ni shida Tupi. Had I sasa wanachuo hawajapata fedha ya kujikimu awamu ya pili. Si hilo tu, mambo kibao kama vile kuchakata matokeo ya wachuo kinyume na yalivyo tolewa na main campus, kutumia wakufunzi wasio na uwezo wa kufundisha wote wahindi. Wameshindwa...
  7. R

    Utambulisho to jf members

    Naomba nipokelewe kwenye janvi maana nilikuwa msomaji si mchangiaji. Najisikia furaha na amani!!
  8. R

    Baraza jipya la mawaziri

    The threat is out of discussion otherwise think other Important developing discussion!!
  9. R

    Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    More updates pls!! We are interesting to know all about this issue.
  10. R

    Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    SAA kumi ndo hii tunaomba lichojiri mahakamani na kuhusu msimamo wa chadema kuhusu kikao cha kamati kuu!!
  11. R

    Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    Hawa wamaomba mtima taarifa alinganishe taarifa ndo wanaolalia upande wa Zzk. Naona wana hofu ya kinachoendelea hats kabla ya Jaji kuhitimisha.
Back
Top Bottom