peleka kwa mkurugenzi wa wilaya yako kwenye kata/mtaa unafata barua ya uthibitisho..
vile vile angalia kama halmashauri yako ipo kwenye orodha. maana wameanza na mikoa miwili kila mkoa halmashauri mbili
fanya programming mkuu...
choose one tech stack and die with it e.g backend development, front end development or data
join tech communities...
attent tech meetups zoote utakutakana na wakali kibao....
pesa itakuja ukishakuwa na skills za kutosha...
mkuu ulikuwa na ya nje au ndani... maana ya ndani ndo issue inayowasumbua watu wengi... Yaani dude linatoka wakati wa haja na maumivu makali... muda mwingine na damu kabisa.... baadae wengine linarudi na wengine halirudi..
mimi nlienda kwenye famasi nkaambiwa bawasili inaweza kutibika kwa vidonge vinaitwa sitcom tablet nliambiwa nameza kimoja asubuhi kimoja jion kwa wiki mbili. bei nliambiwa ni 56000/= . Hiyo hela sikuwa nayo so sikununua. KWA mwenye hela ajaribu hvo vidonge halafu alete mrejesho
Vile vile kuna...
dah.... mkuu unaomba kazi ya research assistant huna sample yoyote ya kazi?
Kiufupi kazi za research zinahusisha sana uandishi wa report kitechinakali ya Technical Writing. Hivo ili waone kama unaweza kuandika lazima uonyeshe sample ya kazi uliyoandika mfano... Report and artilcles..
Andaa...
Wakati niko Chuo ten years back nkisoma Compter Engineering kuna dogo alikuja anajua madude na macode yooote.... So unahisi alikuwa ashagraduate Chuo halafu aka rudi tena kusoma? No...
Alikuwa ni self taugh tayari... nahisi chuo alikuja kukua tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.