Recent content by rutabazi

  1. rutabazi

    KERO Upandaji wa madaraja Singida DC viongozi wana janja janja kibao ambazo hazina tija

    iyo ishu inaendelea hata chemba DC pesa za uhamisho zinaliwa tu n wakuu wa idara
  2. rutabazi

    Kilimanjaro: Walimu wauza Rasilimali zao kupata pesa za uhamisho

    Wilaya ya chemba Dodoma Pia inahilo tatizo walimu toka mwaka Jana 2023 wamehamishwa hawajalipwa stahiki zao..Hela zinapigwa za uhamisho jamn idara sekondari ,,mkurugenz wasaidie walimu wanyonge wanapigwa Hela zao
  3. rutabazi

    Tangazo la ajira za muda tume huru ya uchaguzi

    plse help kama Kuna mtu anaweza nisaidie soft copy wasifu tuwasaidiane wadau Hali ni Tete nishasahau haya mambo form 6 lever hapa
  4. rutabazi

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Zipo harmashauli nyingi sana ambazo pesa za uhamisho bado hazijalipwa Toka mwezi wa tatu Hadi mwenzi hu ,,Dodoma na harmashaul zake
  5. rutabazi

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Jaman wadau Kuna waliopanda madaraja ajira ya mwezi 24/8/2018 msaada tujuane au tusubir bajet ya mwakani**
  6. rutabazi

    NECTA iache unyanyasaji kwa Walimu

    Aise ni dhuruma Kwa walimu tsh10/mmh
  7. rutabazi

    Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Rais Samia ataendelea na Urais baada ya 2025

    Ela tu z uhamisho hazitoki Kwa wakati Kuna jamaa zangu walimu wamepewa uhamisho toka mwez wa kwaza 2023 mpk sasa hawajapata stahik zao..chemba DC Wapigaji bado wapo wengi
  8. rutabazi

    Kwanini Mei Mosi ya Mwaka huu 2023 Haina Shamrashamra?

    Kama kulipa stahiki za uhamisho mwaka hu imekuwa ngumu Kwa watumishi,sujui km Kuna kitu
  9. rutabazi

    Watumishi wa Umma kucheka au kulia

    Kuna jipya wadau
Back
Top Bottom