Wilaya ya chemba Dodoma
Pia inahilo tatizo walimu toka mwaka Jana 2023 wamehamishwa hawajalipwa stahiki zao..Hela zinapigwa za uhamisho jamn idara sekondari ,,mkurugenz wasaidie walimu wanyonge wanapigwa Hela zao
Ela tu z uhamisho hazitoki Kwa wakati Kuna jamaa zangu walimu wamepewa uhamisho toka mwez wa kwaza 2023 mpk sasa hawajapata stahik zao..chemba DC
Wapigaji bado wapo wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.