Ukisikiliza hii interview za Queendalin utafahamu kuna shida pahali ama anatumika kumuharibia mwanawe kwa hasira zao wazazi au kuna kitu hakifahamiki na media sijui zinakwama wapi kumfanyia mahojiano mama dangote.
Huyo Mzee nilichoka pale aliposema walikua wanavaa condom nikajua hamna kitu. Niwazi mtoto sio wake. Jengine sioni sababu ya mtoto kumgombania sana wakati hakua ameoa. Kuna wakati nahisi km huyu Mzee alitumika na maadui wa Diamond kwa muda mrefu ukifuatilia Queendalin interview aliofanya na...
Huyo Mzee nilichoka pale aliposema walikua wanavaa condom nikajua hamna kitu. Niwazi mtoto sio wake. Jengine sioni sababu ya mtoto kumgombania sana wakati hakua ameoa. Kuna wakati nahisi km huyu Mzee alitumika na maadui wa Diamond kwa muda mrefu ukifuatilia Queendalin interview aliofanya na...
Hii family ilikosa kiongozi mwanzoni kabisa na huyu Diamond kitu kinachomsaidia ni kuwa watu waliomzunguka ndio wanamuweka sawa na kumtuliza. Tunaweza kusimamia ule usemi "...........anafunzwa na ulimwengu"
Jengine ni ukosefu wa elimu na exposure ambalo wengi wa TZ wanalo hata hao wanaotukana...
kwa Ushauri wangu kwako kabla ya kufanya maamuzi ni vyema kwanza ukatumia muda kuusoma huo Uislamu ukauelewa kiundani. Ili usibakie dini yako ipo kwa ajili ya mw'ke tu. Ndani ya Uislam hata mw'ke anauwezo wakutoa Talaka ili usije ukayumba hili lazima ulijue. Rafiki yangu alijipa break kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.