Naombeni ushauri wadau nahitaji simu yenye uwezo mkubwa.
Iwe na Ram GB na internal memory angalau 128GB.
Unataka kuedit Movie nini?Naombeni ushauri wadau nahitaji simu yenye uwezo mkubwa.
Iwe na Ram GB na internal memory angalau 128GB.
Oppo A92 itakufaa ina vigezo vyote unavyotakaNaombeni ushauri wadau nahitaji simu yenye uwezo mkubwa.
Iwe na Ram GB na internal memory angalau 128GB.
Af unakuta simu yake ya kuingilia fb, insta, whatsapp na jf tu hana matumizi zaidi 😂😂😂 ya basic fx kupiga na kujibu sms
Tecno camon16
Shida ya kukalili na kuabudu watu ndo hiyo. Kumbe ndo maana Matajiri hudharau masikin na watu wasiokua na ufahamu.Wasiliana na CHIEF MKWAWA hawa wengine ni utopolo tu!
Acha povu.Shida ya kukalili na kuabudu watu ndo hiyo. Kumbe ndo maana Matajiri hudharau masikin na watu wasiokua na ufahamu.
Pumbavu kabisa! kwahyo asipokuja kucoment huyo baba ako majibu hayawez kupatikana!?
Ndo shida ya akili za kimasikin, kukalili kushindwa kila siku!
Sidhani Kama hii comment ilikuwa na mashiko sana. Unless kama ulikuwa unataka kumtukana tu mchangia mada ingawa nae aliteleza kidogo. Hili jukwaa linaheshimiwa kwa hoja.Shida ya kukalili na kuabudu watu ndo hiyo. Kumbe ndo maana Matajiri hudharau masikin na watu wasiokua na ufahamu.
Pumbavu kabisa! kwahyo asipokuja kucoment huyo baba ako majibu hayawez kupatikana!?
Ndo shida ya akili za kimasikin, kukalili kushindwa kila siku!
Baada ya hayo ulipaswa kumpa ushauri wa kitaalam km alivyoombaShida ya kukalili na kuabudu watu ndo hiyo. Kumbe ndo maana Matajiri hudharau masikin na watu wasiokua na ufahamu.
Pumbavu kabisa! kwahyo asipokuja kucoment huyo baba ako majibu hayawez kupatikana!?
Ndo shida ya akili za kimasikin, kukalili kushindwa kila siku!
Galaxy Note 9Naombeni ushauri wadau nahitaji simu yenye uwezo mkubwa.
Iwe na Ram GB na internal memory angalau 128GB.
Nishauri nini, wakati kuna nguruwe moja imeshatuzarau members wengne!Baada ya hayo ulipaswa kumpa ushauri wa kitaalam km alivyoomba
Acha kuwa inferior.Nishauri nini, wakati kuna nguruwe moja imeshatuzarau members wengne!
Mkuu, kuna watu hupenda kupiga vijembe kwahyo kuwakopesha sio dili.Sidhani Kama hii comment ilikuwa na mashiko sana. Unless kama ulikuwa unataka kumtukana tu mchangia mada ingawa nae aliteleza kidogo. Hili jukwaa linaheshimiwa kwa hoja.
Am sure ungeweza kufanya tofauti zaidi ya hii bro.