UPUUZI
...Wajinga tu hawa, genocide walianzisha wao wenyewe; kwanza huko kwenye nchi za watu wanafanya nini, si warudi kwao? na wao ni akina nani mpaka waanze kui-dictate UK nini cha kufanya!
....Mweeeh! Hii kali sana; ina maana na Naibu Spika naye atakuwa chini ya ulinzi? Hivi si ujumbe wake katika Bodi unakoma mara baada ya kuapishwa kuwa Naibu Spika?
kama kweli zile picha na tafsiri zake vimetoka kwake ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu. Wenye nia njema na Tanzania tuzidi kuiombea nchi yetu na Rais wetu. Pia tuombe ili aweze kuunda Baraza la Mawaziri lenye tija na kwamba apate watu wazuri wa kusimamia hizo wizara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.