Mahali nilipo mfuko wa
cement ni tsh.23,000/-
Nondo mm 12 =21,000/-
Bati futi 8 gauge 32 = 18,000/-
futi 6 -//-. 17,000/-
Misumari kilo 1 = 8,000/-
Baadhi tu ya vifaa
Haimanishi kwamba wafanyabiashara ndio washushe bei za vifaa bila serikali kushusha kodi za vifaa hivyo. Serikali ikipunguza kodi ya vifaa vya ujenzi vinaingia kutoka nje na vinavyotengenezwa hapa nchini bila shaka hata wafanya biashara watakuwa na unafuu kwenye kodi hivyo nao kupunguza bei...
Mh. Rais mama Samia Suluhu Hassan tunaomba uliangalie upya suala la vifaa vya ujenzi kwani gharama zake ziko juu sana kiasi mtu wa kipato cha kawaida hasa wa kijijini hawezi kumudu gharama hizo hata kidogo.
Kama bati futi 10 la gauge 32 ni limefikia Tsh. 20,000/- tutaweza kujenga kweli...
Sina shaka kabisa mama atakaa miaka 10, kwangu mimi ni awamu ya sita kwasababu aliyepo sasa ni n Rais mwingine na ndo maana anweka na kutengeneza utawala wake kwa kuteua viongozi wa kuendana na matakwa yake.
Hii nchi bado sana kujitegemea kiuchumi, tuendelee kuomba misaada huku tukijiimarisha zaidi siku za mbeleni hasa kuweka vyanzo vya kudumu vya ukusanyaji mapato ya nchi.
Maamuzi yaliyofanywa nia sahihi kabisa kama kulikuwa na tatizo lilitakiwa kuripotiwa katika mamlaka husika kwa hatua zaidi sio kuchoma mabweni ambayo hayana hatia kwa matatizo yao.
Big up Rais. Kiukweli huyu ndo Rais.
Wanajamvi, habari ya muda huu. Hivi Mh. Rais mkutano wake na watendaji wa kata nchi nzima umeoneshwa live? Maana sina updates yoyote. Aliye na full habari atupie hapa.
Wanajamvi, habari ya muda huu. Hivi Mh. Rais mkutano wake na watendaji wa kata nchi nzima umeoneshwa live? Maana sina updates yoyote. Aliye na full habari atupie hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.