Nafiki ww hujawahi kufa ya hata ujacliyamali. Biashara ya mabilioni kama umewekeza lazima ndani ya miaka 8 ndio utaanza kupata faida kidogo. Hata muuza chipc lazima aanze na hasara, kwanza kipata eneo ni pesa, kujenga banda ni pesa, kinunua vifaa pia ni pesa. Je unafikiri ndani ya mwezi moja...
Mla kuku wa Jirani mguu imemuelekea. Muda huu ni wa wacristo kuongea, waislam waliongea,maaskoff wakasema ni machochezi kabla hata serekali hajajibu. Ss pambaneni wao waislam wanawaangalia2.
Haya warinde kura, maana CCM in wezi wakura.je yakitokea Yale ya Mwaka 2015 ambayo Hamiri jeshi alipo Sema kule Mwanza kuwa" mm nasema kama hamiri jeshi kila mtu akimaliza kupiga kura arudi nyumbani" je mtalinda kura?
Erythrocyte ulichoongea ni kitu amcho kinalingana na uelewa wako. Nikama mtoto akichezea kinyec cwezi kumshangaa kwa kuwa akili yake inalingana na alichofanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.