Wazee hapa mtusaidie tu kupaza sauti maana hali sio shwari kipindi hiki cha watu kurudi makazini kwao.
Polisi kitengo cha usalama barabarani wamezuia magari kwa kigezo cha uhakiki wa leseni kitu ambacho kimesababisha shida na kero kwa wasafiri wilayani Rombo.
Mtu unakaa stand hadi unachoka na...
Kuna siku ñimetoroka chuo mkoani nikaenda dar kufika ubungo nikaona na ushamba wangu nikipanda gari kwenda kariakoo naeza potea nikaona option rahis nipande boda ile tume tembea tembea jamaa akachomekea kwe barabara ya mwendo kasi ile ata mita mia azijaisha nageuka nyuma naona dubwana hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.