Huo ni uthibitisho kuwa hawa jamaa wamekutupuka. Wanadai wameshirisha wadau lakini inaonekana kuja personal interest zaidi lakini walichotangaza hawakukubaliana hata wao wenyewe kwa sababu zifuatazo:
1 Gazeti la Nipashe Jmosi lilionesha kuwa Kawambwa alitofautiana na Mchome kuhusu kufutwa kwa...
Unastahili kukabidhiwa mikoba ya Sheikh Yahya maana uliona mbali mapema alipoteuliwa tu na ukawa mzalendo kutoa dukuduku lako. Jamaa hafai kabisa kwa maamuzi haya ya viwango vya ufaulu nimemdharau sana
Usiwe na wasiwasi hayo ndiyo yatakayofuata maana discontinuation ikiendelea hawa matunda ya DIV 5 wote watafukuzwa. Lazima hilo lifanyike kabla hawajajiunga na vyuo vikuu
Inasikitidha sana kuona kuwa viongozi wa elimu wameweka mbele maslahi yao badala ya kufikiria namna ya kuleta maendeleo katika elimu ambayo iko ICU. Hii yote ni kwa sababu Kawambwa na viongozi wote wa Wizara walisaini mikataba kuwa ufaulu usipofika 60% watajiuzulu, kwa viwango hivi...
Nashindwa kabisa kuielewa Wizara ya Elimu. Mwezi Julai walitoa waraka kuwa mwanafunzi hawezi kuendelea mwaka wa pili katika Mafunzo ya Ualimu kama atakuwa hajapata alama 41 kwa 100 kwa kila somo. Sasa kama unamchagua kujiunga na Mafunzo ya Ualimu kwa viwango vya ufaulu vinavyoanzia 0-19 ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.