Recent content by rumara

  1. R

    JamiiForums Tanzania Naomba MTU anaefahamu excel vizuri ani inbox

    Habari. Umepata wakukusaidia kusoma Excel? Naomba unitumie DM tuongee, kama hujampata.
  2. R

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Short Course nzuri za computer ni zipi?

    Kuna njia ya kujiingizia kipato kwa kusaidia watu wenye shida ya kutumia Excel vizuri. Kama wewe unajiamini kwenye mambo ya Excel (bila VBA) unaweza ingia kwenye tovuti moja ya huko Amerika. Kipato chako kinaweza fika dollar 500 kwa wiki kama unao muda wa kutosha na unajua vizuri Excel. Mimi...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Tupeane maujanja ya Excel

    Kuna njia ya kujiingizia kipato kwa kusaidia watu wenye shida ya kutumia Excel vizuri. Kama wewe unajiamini kwenye mambo ya Excel (bila VBA) unaweza ingia kwenye tovuti moja ya huko Amerika. Kipato chako kinaweza fika dollar 500 kwa wiki kama unao muda wa kutosha na unajua vizuri Excel. Mimi...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Garage gani inaweza geuza Toyota Allion LHD iwe RHD?

    Nilinunua Dec 2015, lakini haijatembea kilomita 2000 kuanzia siku ilifika. Wanunuzi siwapati. Bei ni kuelewana.
  5. R

    JamiiForums Tanzania Garage gani inaweza geuza Toyota Allion LHD iwe RHD?

    Ngoja tusubiri. Nimesikia ikifika Nairobi, kuna garage zinaweza kuhamisha steering. Bei sijajua bado.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Garage gani inaweza geuza Toyota Allion LHD iwe RHD?

    Angalia hiyo picha, utaona bei za Allion 2007 zinazouzwa kwenye www.zoomtanzania
  7. R

    JamiiForums Tanzania Garage gani inaweza geuza Toyota Allion LHD iwe RHD?

    Gari bado mpya. Nzuri sana. Siyo kama zile Allion za mwaka 2002.
  8. R

    JamiiForums Tanzania Garage gani inaweza geuza Toyota Allion LHD iwe RHD?

    Asante kwa ushauri, nikipata wa million 20 nitauza. Ila bei yake ni kubwa zaidi ukilinganisha na zingine zinazo uzwa kwenye zoomtanzania dot com
  9. R

    JamiiForums Tanzania Garage gani inaweza geuza Toyota Allion LHD iwe RHD?

    Ukipata mteja tunaweza ongea. Bei ni maelewano.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Garage gani inaweza geuza Toyota Allion LHD iwe RHD?

    "ni kama anasa, no more pedeshee's", sijakuelewa Mkuu.
  11. R

    JamiiForums Tanzania Garage gani inaweza geuza Toyota Allion LHD iwe RHD?

    Nauza Tsh 26.5 million.
  12. R

    JamiiForums Tanzania Garage gani inaweza geuza Toyota Allion LHD iwe RHD?

    Nimejaribu kuuza kupitia madalali watatu lakini sijapata mnunuzi, hata wakuuliza bei! Mwezi mzima!
  13. R

    JamiiForums Tanzania Garage gani inaweza geuza Toyota Allion LHD iwe RHD?

    Ningependa nihamie Rwanda. Hawakubari kusajiri gari ya RHD
Back
Top Bottom