Hi guys.
Kuna nafasi moja ya internship kwenye organization inayodeal na elimu mkoani Kagera.
Sifa
1.awe mwalimu wa kike
2. Awe mkazi wa mkoa wa Kagera especially wilaya za Bukoba,Mleba,Karagwe.
3.Awe amehitimu chuo mwaka huu 2025
4.Mwenye shahada ya Elimu.
Posho nzuri ipo.
Karibu DM
Mimi ni kada mtiifu wa chama Cha mapinduzi. Sio muumini wa kuandika sana humu, ila napenda kutoa ya moyoni.
Sifurahishwi kabisa nchi kwenda kwenye uchaguzi uku kiongozi mkubwa wa upinzani yupo gerezani. Viongozi wangu ata mataifa rafiki wanatucheka kabisa. Hii imesababisha uchaguzi wa mwaka huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.