Recent content by RUKUKU BOY

  1. RUKUKU BOY

    GE2025 ‘Kapteni Tesha’ kawapa matumaini hewa

    Mbona kama umepanic
  2. RUKUKU BOY

    Mwalimu anahitajika Bukoba-Kagera

    Nikuoe pole ndugu,Nina miaka 10 humu Sina utaperi na siletagi madam kizembe
  3. RUKUKU BOY

    Mwalimu anahitajika Bukoba-Kagera

    Hi guys. Kuna nafasi moja ya internship kwenye organization inayodeal na elimu mkoani Kagera. Sifa 1.awe mwalimu wa kike 2. Awe mkazi wa mkoa wa Kagera especially wilaya za Bukoba,Mleba,Karagwe. 3.Awe amehitimu chuo mwaka huu 2025 4.Mwenye shahada ya Elimu. Posho nzuri ipo. Karibu DM
  4. RUKUKU BOY

    GE2025 Kama mwana CCM sipendi Lissu kuwa gerezani

    Siasa za mahakama sio nzurii
  5. RUKUKU BOY

    GE2025 Kama mwana CCM sipendi Lissu kuwa gerezani

    Treason committed by one disabled person?
  6. RUKUKU BOY

    GE2025 Kama mwana CCM sipendi Lissu kuwa gerezani

    Mimi ni kada mtiifu wa chama Cha mapinduzi. Sio muumini wa kuandika sana humu, ila napenda kutoa ya moyoni. Sifurahishwi kabisa nchi kwenda kwenye uchaguzi uku kiongozi mkubwa wa upinzani yupo gerezani. Viongozi wangu ata mataifa rafiki wanatucheka kabisa. Hii imesababisha uchaguzi wa mwaka huu...
Back
Top Bottom