Recent content by Rudolph Hess

  1. R

    TPA: Ni kweli Mizigo imepungua Bandarini

    Mwenyekiti unaona umefuta ile signature tukufu madhara yake ndio haya! hebu rudisha bwana iwe na rangi ile ile!!!
  2. R

    TPA: Ni kweli Mizigo imepungua Bandarini

    Huyu ni mwenyekiti wa chama chetu (chama dume) mkoa wa JF, naomba wanachama wote tumpe ushirikiano. Kigumu chama chetu......
  3. R

    Hongera kwa Polisi, Mtandao wa Majambazi wakamatwa Dar

    Mwenyekiti, mbona "signature" yako ile ya "chama dume" siku hizi siioni? Hatuna mwenyekiti mwingine zaidi yako humu JF,
  4. R

    Taarifa Ya Mwenyekiti Mtendaji Wa IPP Limited, DKT REGINALD MENGI, Kwa Umma

    Mwandishi wa gazeti la raia mwema amemchambua R.Mengi vizuri sana, mimi mwenyewe nilikuwa mmoja wa watu waliokuwa wanamwona mengi kama anaandamwa sana na serikali katika biashara zake. ila tokea nilivyosoma huu uchambuzi nimegundua mengi anapenda sana kutuingiza wananchi kwenye ugomvi wake wa...
  5. R

    Rage Atimuliwa Simba!!!

    Najaribu kutafuta link ya Tabora na ufinyu wa fikra ninapata conection nyingi mpaka nachanganyikiwa ni-conclude na ipi, labda wenzangu mnisaidie ku-narrow down hizi posible connection hapa chini:- -Kituo cha biashara ya watumwa -kituo cha biashara ya pembe za ndovu -Kituo kikuu cha waarabu...
  6. R

    Suzuki carry 4WD inauzwa faster

    nina 5mil mkuu, cash? vipi
  7. R

    Upotoshaji Mkubwa dhidi ya Ubakaji na Kapuya

    Mkuu mbona nakuheshimu sana kwa uwezo wako wa kuangalia mambo katika 3D kama ulivyosema mwenyewe, Hebu soma tena post yako ina maana huu ndio uwezo wako wa kuchambua issue za criminology? Hebu tengeneza post nyingine ubandike hii siyo ya level yako, please!!
  8. R

    Picha ya Rais Kikwete imenigusa na uwe pia mfano wa kuigwa kwa viongozi wetu

    OK, at least umetoa quote yenye mashiko. Kwa kweli ninachoona ustaadhi anafanya ni kutafuta kuacha legacy kwa mambo yasiyo na mashiko ila yaliyo mepesi kumezwa na jamii ya wajinga. Ok niishie hapo. asante
  9. R

    Biashara ya compendium udom ni balaa, walimu wanatuibia wanafunzi

    nimecancell Kwanza naomba mtu yeyeto asiendelee kuchangia hii post, Mwanzishaji wa hii post nimeshajitambua. Pili nawaomba msamaha walimu wangu wote niliowataja kwenye hii post kwa usumbufu niliowasababishia na ndio maana nimetumia jukwaa hili hili kuwaomba msamaha. Tatu nieleze kuwa...
  10. R

    Picha ya Rais Kikwete imenigusa na uwe pia mfano wa kuigwa kwa viongozi wetu

    Kiongozi samahani hapo kwenye red wewe kutoka moyoni unaamini kuwa nchi inahitaji kiongozi mwenye sifa hiyo? sifa ya kwenda kwenye shuguli za recreational za kijamii? Unaamini viongozi waliopita hawakufanya hivi kwa sababu hawakuwa na ubinadamu kama wa ustaadhi au it was (is) out of presidental...
  11. R

    Picha ya Rais Kikwete imenigusa na uwe pia mfano wa kuigwa kwa viongozi wetu

    Mkuu picha yako imenikumbusha mpiga picha mmoja wa miaka ya 1930 pale berlin Ujerumani alikuwa anaitwa Hoffman yeye ndiye alikuwa personal photograpger wa Adolph Hitler, Akishirikiana na Chief wa Propaganda wa Nazi mkuu Joseph Goebble, walikuwa wanampiga picha Uncle Adolph kama hizi za kikwete...
  12. R

    Uhaba wa maji UDOM na athari zake...

    Kiongozi huko L siji ng'o, mnataka mnisingizie nimetupa mtoto du!! maana huko L ndio zenu kutupa watoto kwenye dust been shenzi type!!!
  13. R

    Uhaba wa maji UDOM na athari zake...

    tafsida ya nini tena, haya mambo ya tasfida ndiyo yanayotuchelewesha maendeleo mpaka hatuelewani, mi spade huwa naiitaga kwa jina lake halisi spade na siyo kijiko kikubwa
  14. R

    Uhaba wa maji UDOM na athari zake...

    Yaani tokea tulipooga na kunya jana, leo tumeamku hakuna maji si ya kuoga wala ya kunya, yaani saa hizi nimekaa nawaza niende kula cafe hayo maji ya kunyea nitatoa wapi? maana ukila tu lazima uende chooni kukatwa kidizain fulani, nipo hapa nawaza hata nisipokula kuoga je. waungwana wameshaanza...
  15. R

    Unafiki wa Zitto Kabwe na suala la Posho - Lema

    hivi mi nikijikakamua hapa siwezi kuchangia point au nitavuruga chama, ngoja nitulie
Back
Top Bottom