Weweee acha uongo kabisa. Ungekuwa umefanya kitendo hicho sasa hivi ungekua una- drive. pamoja na hayo ni ujinga wako kafie mbali umeyataka mwenyewe. Hata hizo mnaita kinga hazisaidii kitu....... kalaghabhahoooooooooo pusi weeeeeeeeeeeeeeeeeee
Double standards zinapoanza kutumika ndo utajua kilicho nyuma ya pazia. Hatukuona mtu akilalamika Nchimbi aliposema Tanzania (Zanzibar) kuna ugaidi, wote humu mlishangilia na FBI wameletwa! Leo Lwakatare kwa uzembe wake amefanya hayo aliyoyafanya wala haijatangazwa kwa kiwango kile cha Nchimbi...
Acha ngonjera zako hizo bana, kama ni ukhabithi wa 1884 kwa nini msijiunge na Kenya au Uganda au Malawi nk nk? Mna mambo yenu myajuayo ndo maana hamtaki kuachia. Kwani kuungana unaona ni bora na Zanzibar tu. Labda Dar es salaam je Kigoma na Burundi, Kyaka na Uganda, Namanga na Kenya nk nk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.