Recent content by Ruaha

  1. R

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Yafuatayo yatakusaidia kujibu swali kalo. 1. Mungu ninaye mwamini mimi sio bubu, sio kiziwi na wala hahitaji watu wa kumtete au kumuelezea sana. anaweza kujielezea na kujitetea maana yeye ni Mungu anaweza kujibu kwa moto na njia zake hazichunguziki. 2. unaweza kumuuliza Mungu hilo swali lako...
  2. R

    MeTL wakanusha kukamatwa kwa sukari iliyofichwa

    Sukari ilikua inapita. serikali imeomba ibaki. tatizo lipo wapi? Makonda uwe unawasiliana na mamlaka husika kabla ya kutuchanganya.
  3. R

    Ni marufuku matamko ya dini kusomwa kwenye nyumba za ibada

    Wewe ndio huna adabu. Huwezi kuita kundi la viongozi wa sini "Genge dogo la wahuni" . Naomba Mungu akusamehe, maana hujui ulinenalo.
  4. R

    Jimbo la Singida Mjini, nani atusemee kero zetu bungeni?

    Mshukuruni Mungu mnapewa misaada mbalimbali. Muogopeni Mungu. Mohammed amewasaidia vitu vingi sana. Hao wabunge wenu mnaowasifia wa viti maalumu inawezekana hata bei ya mfuko wa cement hawaijui. Wabunge wetu wanakaa bungeni wanauliza maswali na hakuna maendeleo majimboni kwetu.
  5. R

    Kijana tajiri wa Kitanzania ametajwa kuvunja rekodi

    Duniani kuna kitu kinaitwa bahati. Ww unayesema sio dewji tajiri au sio mtz we bishaaaa mwisho wa siku yy atabaki na vyake na ww na ufukara wako. Tafuta vyako acha ujinga.
  6. R

    Warioba: Hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuongoza nchi

    Wengi ni mashabiri humu na hawaelewi athari ya machaguo yao. Mungu atujalie uzima, afya na amani Tukutane kwenye sanduku la kura tufanye maamuzi.
  7. R

    Richard Mgamba on Star TV akiongelea suala la Tegeta Escrow Account

    Wamekata umeme Happy Tanzanian 😄
  8. R

    Usijaribu kusoma kozi hizi, utakufa njaa

    Talent yako na tabia yako ndio deal sio cheti na jina la chuo. THINK. Happy Tanzanian 😄
  9. R

    Kwanini viongozi wa Serikali Wakristo huvaa Kiislamu?

    Ni mtazamo tu Happy Tanzanian 😄
  10. R

    Sijala toka jana nilipohakikisha sijachaguliwa uhamiaji

    Unampango wa kukaa siku ngap bila kula? Life goes on Happy Tanzanian 😄
  11. R

    Wasiorejesha mikopo vyuo vikuu marufuku kutoka nje ya nchi. Kunyimwa visa

    Watz wengi wanazaliwa tz, wanasoma tz, wanaoa tz, wanazeekea tz, wanafia tz, na wanazikwa tz. Hawajui ndege wala meli. Watawakamata wachache sana.!! 😸 Happy Tanzanian 😄
  12. R

    Nataka kumfananisha Mwigulu kama vile Sokoine

    Siku hazigandi
  13. R

    Nina tatizo la low sperm count, msaada

    Mgeukie Yesu Kristo tu. Happy Tanzanian 😄
Back
Top Bottom