Uchunguzi ufanyike,iweze ghafla bei ya mafuta itokee tarehe 1/04/2026.
Nchi jirani viongozi wanaosimamia sekta hii wamejiuzulu,baada ya kuwepo tuhuma za kula njama,kupandisha bei kwa kusingizia kuwa mzigo mpya(shehena ya mafuta) umekuja kwa gharama kubwa.
Tanzania,inasemekana shehena ya mafuta...
Kwanini?! bei ya mafuta hutangazwa mwezi mmoja kabla(tukiwa mwezi Januari EWURA hutangaza bei ya mwezi Februari.),mbona bidhaa Sokoni (nyanya,vitunguu n.k) bei hazitangazwi mwezi mmoja kabla.
Tungefanikiwa kuendeleza na kuboresha usafiri wa Anga(mfano usafiri wa ungo kutoka Sumbawanga kwenda Tanga,tungepunguza gharama sana,na Wazungu wangetuheshimu sana).
Tupo katika hatua ya juu ya Unafiki na Maigizo!(Viongozi wanakwepa ukweli kwamba hawajui wananchi wanataka nini,)
Wananchi wapo kimyaa kama vile hakuna kitu kimetokea ,lakini ndani ya mioyo ni hatari.
Tukienda hivi,miaka ijayo itakuwa ni hatari zaidi kuliko matukio tuliokwisha yaona.
PENDEKEZO LA KUPUNGUZA FOLENI: iwe kama ifuatavyo:
Turekebishe muda wa kuingia kazini(Kama vile tulivyorekebisha msongamano wa abiria wakati wa siku za sikukuu kwa kuruhusu magari kusafiri saa 24,yaani usiku na mchana).
i.kampuni zinazofanya usafi barabarani(wafanye kazi usiku)
ii.Matengenezo ya...
YEye na Livingstone Joseph Lusinde wameteuliwa katika nafasi inayofanana.
Ukija,njoo na uchambuzi wa wote wawili (Makonda na Lusinde).
Nahisi wanaenda kutumika katika jukumu linalofanana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.