Recent content by rsvp

  1. R

    Hii bei ya mafuta wiki chache zijazo tutaiona ni bei ndogo

    Uchunguzi ufanyike,iweze ghafla bei ya mafuta itokee tarehe 1/04/2026. Nchi jirani viongozi wanaosimamia sekta hii wamejiuzulu,baada ya kuwepo tuhuma za kula njama,kupandisha bei kwa kusingizia kuwa mzigo mpya(shehena ya mafuta) umekuja kwa gharama kubwa. Tanzania,inasemekana shehena ya mafuta...
  2. R

    Museveni wa Uganda kaigeuza nchi kuwa mali ya Familia, Ndugu na Watoto, soma orodha ya vyeo walivyonavyo

    familia zaidi,makubaliano na mazingatio ni kulinda maslahi ya familia
  3. R

    Unahisi Hii Hali ya Bei za Mafuta Kupanda Inaweza Kudumu Mpaka Lini? Na nini Kifanyike Ili Kujinasua na Kupanda Kwa Bei Za Mafuta?

    Kwanini?! bei ya mafuta hutangazwa mwezi mmoja kabla(tukiwa mwezi Januari EWURA hutangaza bei ya mwezi Februari.),mbona bidhaa Sokoni (nyanya,vitunguu n.k) bei hazitangazwi mwezi mmoja kabla.
  4. R

    Siasa ndani ya vyama ziliwakataa Prof. Mwandosya na Salim A. Salim zikatuletea Jakaya Kikwete na hapa ndipo tulipo sasa

    Upande wa Zanzibar,walikuwa waanzilishi wa Baraza la Mapinduzi,na wengi wao walitokea Unguja.
  5. R

    Kwanini Tanzania inapokea watalii milioni 2 tu?

    ili tufahamu tunakwama wapi,napendekeza maeneo ya vivutio na viwanja vya ndege waweke 'BOX LA MAONI',lazima watalii watasema Tanzania tunakwama wapi.
  6. R

    Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Tungefanikiwa kuendeleza na kuboresha usafiri wa Anga(mfano usafiri wa ungo kutoka Sumbawanga kwenda Tanga,tungepunguza gharama sana,na Wazungu wangetuheshimu sana).
  7. R

    Je Tanzania tunatatizo la kujidanganya-Tuko fake?

    Tupo katika hatua ya juu ya Unafiki na Maigizo!(Viongozi wanakwepa ukweli kwamba hawajui wananchi wanataka nini,) Wananchi wapo kimyaa kama vile hakuna kitu kimetokea ,lakini ndani ya mioyo ni hatari. Tukienda hivi,miaka ijayo itakuwa ni hatari zaidi kuliko matukio tuliokwisha yaona.
  8. R

    Msimamizi wa Majiji Tanzania: Tanzania City Authority

    Iwe " Agency" isiingiliwe na siasa , Upimaji na mpangilio wa Mji ufanyike sawa na hadhi ya miji ya nchi za wenzetu.
  9. R

    Njia ya kupunguza msongamano wa magari na watu katika Majiji - Tanzania

    PENDEKEZO LA KUPUNGUZA FOLENI: iwe kama ifuatavyo: Turekebishe muda wa kuingia kazini(Kama vile tulivyorekebisha msongamano wa abiria wakati wa siku za sikukuu kwa kuruhusu magari kusafiri saa 24,yaani usiku na mchana). i.kampuni zinazofanya usafi barabarani(wafanye kazi usiku) ii.Matengenezo ya...
  10. R

    Makonda aendelea kupaa. Alamba Uteuzi Mzito Ndani Ya CCM

    YEye na Livingstone Joseph Lusinde wameteuliwa katika nafasi inayofanana. Ukija,njoo na uchambuzi wa wote wawili (Makonda na Lusinde). Nahisi wanaenda kutumika katika jukumu linalofanana.
  11. R

    PostGE2025 Makonda: Nitaenda kumlilia Rais Samia atupe Tsh. 2 Bilioni kwa ajili ya vijana wa Online TV na Content Creators

    Mkakati ulekezwe kwenye maandalizi ya mashindano ya "AFCON" nchini Tanzania 2027. Izingatiwe kuwa "muda ni mchache,mengi hayajafanyika"!!
  12. R

    Sifa anazopewa Waziri wa Maji (Aweso) ni tofauti na uhalisia

    Usambazaji maji na mabomba zipewe kampuni za ki China ili tuongeze kasi ya kufikisha maji kwa wananchi
Back
Top Bottom