Recent content by rsvp

  1. R

    JamiiForums Tanzania CRDB Bank Marathon Congo yakusanya Dola 50,000 kusaidia wodi ya watoto Hospitali ya Jason Sendwe DRC

    Napendekeza CRDB wafungue Tawi kwenye mji wa Kalemie.Fursa ni nyingi ambazo hazizungumzwi na Mamlaka yoyote hapa Tanzania. KALAMIE ni karibu na Kigoma na itakuwa karibu kwa wafanyabiashara wa DRC kuchukua bidhaa Kigoma. Siku SGR ikifika Kigoma,Upande wa Mashariki ya Kongo wote watakuja Kigoma...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Done your proper research?! Kingereza cha ugoko cha Bashite

    Kweli,wengi matokeo yake wanawapeleka watoto wao shule za 'English medium'. Halafu hawataki kurekebisha jambo kwa manufaa ya sasa na baadae(kuhakikisha mfumo wa Elimu unawezesha kila shule inabadolishwa kuwa 'English medium.Kiswahili kibaki kama somo tu).
  3. R

    JamiiForums Tanzania Rais wa Kenya William Samoel Ruto kulihutubia Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mei 5, 2026

    Kenya inakuja kutangaza kuridhia kushirikiana Tanzania kujenga Kiwanda cha kuchakata na kusafisha mafuta katika mji wa Tanga. Na kwamba nchi yake ipo tayari ku'support" mradi wa bomba la mafuta kutoka Uganda linapitia Tanzania!
  4. R

    JamiiForums Tanzania Serikali: Tunaongea na CCM tuweze kukarabati viwanja wanavyomiliki

    Ni vyema wakabidhi Halmashauri,ili kuwezesha usimamizi na ufuatiliaji na kupunguza gharama za uendeshaji. Kwanini maamuzi haya?kwa sababu michango ya wananchi ilitumika kujenga viwanja hivi. Halmashauri zipo karibu na wananchi,,na huduma zitolewazo na viwanja ni kwa ajili ya wananchi.
  5. R

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jengo la Hospitali ya Rufaa Singida limejengwa zaidi ya Miaka 10 bila kukamilika, Viongozi wanapita tu

    Awamu hii,naamini litatengewa fedha. Ni ufuatiliaji tu,viongozi wanaotokea Mkoa wa Singida sasa hivi wengi wamepewa nafasi kubwa za madaraka yenye ushawishi,Hili halitawashinda
  6. R

    JamiiForums Tanzania TANESCO, Songas zamaliza Mkataba wa Uzalishaji Umeme. Serikali yagoma kuendelea na mkataba kulinda maslahi ya nchi

    Wenye nia binafsi wanapitia kwa huyu mtu
  7. R

    JamiiForums Tanzania Hii bei ya mafuta wiki chache zijazo tutaiona ni bei ndogo

    Uchunguzi ufanyike,iweze ghafla bei ya mafuta itokee tarehe 1/04/2026. Nchi jirani viongozi wanaosimamia sekta hii wamejiuzulu,baada ya kuwepo tuhuma za kula njama,kupandisha bei kwa kusingizia kuwa mzigo mpya(shehena ya mafuta) umekuja kwa gharama kubwa. Tanzania,inasemekana shehena ya mafuta...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Mapendekezo ya nauli mpya jijini Dar. Nauli ya 900 kupanda hadi 2,100. Tutafute hela ndugu zangu, yajayo yanafurahisha

    Washauri wameshindwa kuzingatia vigezo na uhalisia
  9. R

    JamiiForums Tanzania Museveni wa Uganda kaigeuza nchi kuwa mali ya Familia, Ndugu na Watoto, soma orodha ya vyeo walivyonavyo

    familia zaidi,makubaliano na mazingatio ni kulinda maslahi ya familia
  10. R

    JamiiForums Tanzania Unahisi Hii Hali ya Bei za Mafuta Kupanda Inaweza Kudumu Mpaka Lini? Na nini Kifanyike Ili Kujinasua na Kupanda Kwa Bei Za Mafuta?

    Kwanini?! bei ya mafuta hutangazwa mwezi mmoja kabla(tukiwa mwezi Januari EWURA hutangaza bei ya mwezi Februari.),mbona bidhaa Sokoni (nyanya,vitunguu n.k) bei hazitangazwi mwezi mmoja kabla.
  11. R

    JamiiForums Tanzania Siasa ndani ya vyama ziliwakataa Prof. Mwandosya na Salim A. Salim zikatuletea Jakaya Kikwete na hapa ndipo tulipo sasa

    Upande wa Zanzibar,walikuwa waanzilishi wa Baraza la Mapinduzi,na wengi wao walitokea Unguja.
  12. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tanzania inapokea watalii milioni 2 tu?

    ili tufahamu tunakwama wapi,napendekeza maeneo ya vivutio na viwanja vya ndege waweke 'BOX LA MAONI',lazima watalii watasema Tanzania tunakwama wapi.
  13. R

    JamiiForums Tanzania Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Tungefanikiwa kuendeleza na kuboresha usafiri wa Anga(mfano usafiri wa ungo kutoka Sumbawanga kwenda Tanga,tungepunguza gharama sana,na Wazungu wangetuheshimu sana).
  14. R

    JamiiForums Tanzania Je Tanzania tunatatizo la kujidanganya-Tuko fake?

    Tupo katika hatua ya juu ya Unafiki na Maigizo!(Viongozi wanakwepa ukweli kwamba hawajui wananchi wanataka nini,) Wananchi wapo kimyaa kama vile hakuna kitu kimetokea ,lakini ndani ya mioyo ni hatari. Tukienda hivi,miaka ijayo itakuwa ni hatari zaidi kuliko matukio tuliokwisha yaona.
Back
Top Bottom