Kwakweli ukawa walikosea sana kuondoka ktk bunge la katiba, badala yake wangeshindana kwa hoja na maoni hapo wananchi wangewaelewa sana, kwani Kwa muda ule kama nikupotea kwa kodi zetu zilishapotea sana.
Malalamiko yangu in kuhusu huduma ya wimbo ya mwito kwenye Simu , huwa mnaweza kumkata Mteja fedha kila anapokuwa na salio mila mpango nahii ilinitokea hadi nikaamua kujiondoa, acheni hayo mambo kuweni waminifu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.