Recent content by rr4

  1. rr4

    JamiiForums Tanzania Nchi za kiarabu kwa miaka 78 zimeshindwa kuifanya chochote nchi ya Israel

    Brainwashed by the western media na staunch mnazi wa Western propaganda. Baki hivyo
  2. rr4

    JamiiForums Tanzania Nchi za kiarabu kwa miaka 78 zimeshindwa kuifanya chochote nchi ya Israel

    Werevu ni kufikiri unavyotaka wewe. Marekani na Israel walifikiri Iran ni Iraq au Libya, sasa wamekutana na mziki tofauti. Pale waliuwa viongozi Dola ikaanguka. Nyoka waliyekutana naye sasa ana vichwa saba. Kata kimoja vingine vinapumua. Pamoja na kuua viongozi wote hao umeona Iran ikilia Lia...
  3. rr4

    JamiiForums Tanzania Hezbollah waanza kufanya Wanachama wao wao zaidi ya 100

    Sasa huwezi kujadili kitu bila kumuita mtu mjinga???? Anyway kwani Marekani ana proxy wangapi duniani au kunya anye kuku akinya Bata ameharisha. Iwe ni proxy au sivyo iwe Lebanon ina Jeshi au haina jua tu kwamba hayo makundi ni kwa maslahi makubwa ya Mataifa yao.
  4. rr4

    JamiiForums Tanzania Nchi za kiarabu kwa miaka 78 zimeshindwa kuifanya chochote nchi ya Israel

    CNN waliruhusiwa kuripoti from inside Iran. Just Google it
  5. rr4

    JamiiForums Tanzania Nchi za kiarabu kwa miaka 78 zimeshindwa kuifanya chochote nchi ya Israel

    We una chombo chako cha habari unamiliki ambacho kipo Israel au unategemea BBC na CNN??? Israel amechapika na ataendelea kuchapika sana tu. Mbona anazuia waandishi wa hivyo vyombo vya magharibi kuonyesha uharibifu anaopata kwa kupigwa mabomu???
  6. rr4

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Tutaomba kuwa Wenyeji wa Kombe La Dunia

    🤣🤣🤣🙌🙌
  7. rr4

    JamiiForums Tanzania Nchi za kiarabu kwa miaka 78 zimeshindwa kuifanya chochote nchi ya Israel

    Makosa makubwa ni kutokuungana. Kama sasa hivi Iran anamtandika Israel sawasawa, waarabu wangesimama as one Muisrael hachomoi. Lakini Amerika imefanikiwa kuwagawa Waarabu.
  8. rr4

    JamiiForums Tanzania Hezbollah waanza kufanya Wanachama wao wao zaidi ya 100

    Waafrica sisi ni bendera fuata upepo. Yaani watu wanapigania maslahi ya Taifa lao na watu wao, sisi tunawaita magaidi kwa kufuata mkumbo wa Magharibi.
  9. rr4

    JamiiForums Tanzania GE2025 Prof Tibaijuka: Tuwazike kwa heshima, tuombe toba kuondosha sifa za Taifa letu kwa kutotambua HAKI ndiyo msingi wa yote

    Huyu baada ya kuzeeka akili inarudi. Wapumzike kwa amani waliotangulia katika kudai haki.
  10. rr4

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mpaka sasa sijaona picha za misururu ya wapiga kura waliosabibisha ushindi mnono wa 98%

    Hazipo na hawakuwepo. Kilichofanyika kutaja hiyo namba ni Aibu kubwa sana kwa taifa na CCM wametupaka mavi Dunia nzima. Ila Mbio za sakafuni huishia ukingoni.
  11. rr4

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kilichotokea ni Jaribio la Mapinduzi lililofeli

    🚮🚮🚮🚮🚮 USELESS
Back
Top Bottom