Recent content by rr4

  1. rr4

    GE2025 Prof Tibaijuka: Tuwazike kwa heshima, tuombe toba kuondosha sifa za Taifa letu kwa kutotambua HAKI ndiyo msingi wa yote

    Huyu baada ya kuzeeka akili inarudi. Wapumzike kwa amani waliotangulia katika kudai haki.
  2. rr4

    GE2025 Mpaka sasa sijaona picha za misururu ya wapiga kura waliosabibisha ushindi mnono wa 98%

    Hazipo na hawakuwepo. Kilichofanyika kutaja hiyo namba ni Aibu kubwa sana kwa taifa na CCM wametupaka mavi Dunia nzima. Ila Mbio za sakafuni huishia ukingoni.
  3. rr4

    GE2025 Kilichotokea ni Jaribio la Mapinduzi lililofeli

    🚮🚮🚮🚮🚮 USELESS
  4. rr4

    Ila kuachwa

  5. rr4

    Maria Sarungi na mange Kimambi nyie watanzania wajinga mmekubali ni wanaharakati kweli??

    Search Ruhollah Khomeini's return to Iran Article Talk Language Watch Edit Ruhollah Khomeini’s return to Iran on 1 February 1979, after 14 years in exile, was an important event in the Iranian Revolution. It led to the collapse of the provisional government of Shapour Bakhtiar and the final...
  6. rr4

    Dudu baya aka konky master

    Alisoma seminari. Ana akili kubwa.
  7. rr4

    Wakuu Tehran inaungua muda huu na lango la gereza mashuri la Evin limelipuliwa

    Viongozi wa Africa wanaweza ahirisha hadi chaguzi maana watasema no donor fund za kugharamia uchaguzi.
  8. rr4

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Unakuta gari la mkopp😅😂😂😂, anyway lakini huko ni matajiri.
  9. rr4

    Baba anatoa nyumba yake ya Kariakoo wakfu iwe mali ya msikiti, huku watoto wake wamepinga hawana urithi, why Watu weusi hatujui Generational wealth

    Hata hao wanaopokea hilo eneo wanatakiwa wawe na busara na waangalie kama familia ina uhitaji au Haina. Haiwezekani familia wawe na uhitaji, wewe upokee hiyo sadaka.
  10. rr4

    Iran inatumia akili gani kujisifia kwamba ilishaficha madude ya nyuklia na kwamba Marekani hakupiga kitu

    Ukishapika chakula chako kikaiva ukaingiza ndani ukahifadhi kabatini salama, mwehu akaja akamwagia jiko lako LA Kuni maji na kutangaza amekuweza na wewe ukatangaza chakula chako Kiko salama ndani na familia Yako itakula, haitalala njaa. KUNA SHIDA GANI? KUNA TATIZO HAPO.? Africa tuache ushabiki...
Back
Top Bottom