1. Wanasheria kusaidia ushauri wa kisheria katika kuingia mikataba ya biashara, kuuziana ardhi na kesi za mahakamani na mambo mengine. Kila kata iwe na wanasheria kulingana na vijini vilivyopo chini ya kata au katani peke yake.
2. Architect kwa ramani. Watu wanapata shida kupata ramani za...
Ushuhuda ni kwamba sasa hivi ndio Niko kwenye mpambano na wachawi makubwa mno. Nilikuwa siamini uchawi upo ila baada ya kuangalia kwenye Bible nikauona.
Najitahidi sana kuomba lakini Mimi ni mdhaifu, siko vizuri kwenye maombi ila namwomba Mungu anipe nguvu ya kuomba na natumainia damu ya Yesu...
Werevu ni kufikiri unavyotaka wewe.
Marekani na Israel walifikiri Iran ni Iraq au Libya, sasa wamekutana na mziki tofauti. Pale waliuwa viongozi Dola ikaanguka.
Nyoka waliyekutana naye sasa ana vichwa saba. Kata kimoja vingine vinapumua. Pamoja na kuua viongozi wote hao umeona Iran ikilia Lia...
Sasa huwezi kujadili kitu bila kumuita mtu mjinga???? Anyway kwani Marekani ana proxy wangapi duniani au kunya anye kuku akinya Bata ameharisha.
Iwe ni proxy au sivyo iwe Lebanon ina Jeshi au haina jua tu kwamba hayo makundi ni kwa maslahi makubwa ya Mataifa yao.
We una chombo chako cha habari unamiliki ambacho kipo Israel au unategemea BBC na CNN???
Israel amechapika na ataendelea kuchapika sana tu. Mbona anazuia waandishi wa hivyo vyombo vya magharibi kuonyesha uharibifu anaopata kwa kupigwa mabomu???
Makosa makubwa ni kutokuungana. Kama sasa hivi Iran anamtandika Israel sawasawa, waarabu wangesimama as one Muisrael hachomoi. Lakini Amerika imefanikiwa kuwagawa Waarabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.