Unatumia Windows XP na Auto DHCP? Kama ndiyo then,
Jaribu kuzibua TCP/IP stack kwenye PC zinazosumbua, pia flush DNS ukiwa kwenye dos command type ipconfig /flushdns then press enter
Jinsi ya kuzibua TCP/IP stack:
andaa faili tupu kwenye partition yako liite resetlog.txt au jina lolote...
Ahsante kwa nyuzi kuhusu kutafiti maana za majina mbalimbali ukumbini.
Kama wasanii wafokaji "rap musicians" huwa na majina zaidi ya moja kuwasaidia kushamiri mbele ya wapenzi wa muziki wao.
Kwa JF labda ni chanzo kizuri cha majadiliano kuwa Watanzania tuna uhuru wa kutoa hoja zetu bila woga...
Is your system going to operate in house or across the Web? Agreed on each and every step consideration, stressing on the initial design.
Good place to start: http://www.sans.org/reading_room/whitepapers/application/security-scenarios-analysis-design_29
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.