Daniel Moses, unapoongelea masuala ya tiba za binadamu hutakiwi kubahatisha wala kufanya majaribio, afya ya binadamu sio kitu cha kubahatisha, waache wataalam na mamlaka husika zisimamie mambo haya, haingii akilini unakurupuka huelewi ugonjwa, huelewi visibabishi, huelewi namna mwili...
ni aina ya kipimo kinachotumia camera maalum kwa ajili ya kuvisualize njia ya chakula kuanzia level ya koromeo mpk sehemu ya kwanza ya utumbo mwembamba
Onana na daktr huenda kuna tatizo katika mfumo wako wa mmeng'enyo wa chakula au kuna tatizo ktk utengenezwaji au usafiridhwaji wa kemikali iitwayo bile ambayo hutengenezwa na ini na kuhifadhiwa ktk kifuko kiitwacho gall bladder, kemikali hii kwa kiasi kikubwa ndio hufanya kinyesi kuwa na rangi...
Eee mwenyezi Mungu utujalie afya sie sote wenye ndoto ya mabadiliko ili tukaione trh 25 October na pia ukawapige upofu wale wote wenye hila za kishetani zilizodumu kwa miaka 50 katika taifa lako ili watu wako wapate kufurahia mema ya nchi yao......... Amen
Mkuu umeandika kwa hisia za hali ya juu sana, hima watanzania wenzangu tuitumie fursa vzr hapo 25 October, tuondoe hili giza nene lililowekwa na hili blanket la kijani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.