Recent content by Roy Logan

  1. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Msafara wa Makamu wa Rais ukiondoka bungeni Dodoma

    Sasa kipi kimekuchekesha hapo? Umesahau kwamba hata Nchimbi alikuwa na msafara, nyie watu mbona hamjifunzi. Ulipo hapo leo Kesho anakaa mwingine, penda usipende ndio life, stay humble, no one is safe, ni swala la muda tu.
  2. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?

    Wassira au Kabudi.
  3. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Wakatoliki hamtakiwi na mzanzibari, mlioko huko bado anzeni kufungasha

    Wataamka Chief, naamini wataamua, Imani yangu inaniambia hiyo siku haipo mbali.
  4. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Wakatoliki hamtakiwi na mzanzibari, mlioko huko bado anzeni kufungasha

    Hii sio ishu ya dini, hapa ni ishu ya maslahi/Safu za kiongozi na kuhakikishia usalama huko tuendako. Hili game bado ni gumu kila upande na wananchi ndio wataamua nani awe mshindi.
  5. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Dereva amwambia RC Chalamila kuwa Tunaichukia Serikali, Rushwa imejaa

    Binafsi kuna muda nadhani wapo baadhi ya viongozi wanatamani mambo yaende kwenye mistari ila hawana hiyo power, sasa inapotokea MTU kama huyu akaongea basi huwa wanafurahi maana ujumbe umefika, bila shaka wamekuwa wamesadiwa kufikisha ujumbe. Ninaamini Mh.Chalamila hana uwezo wa kufanya lolote...
  6. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania 7/7 hakuna watu, Serikali imefanikiwa kuyaua maonesho kwa kutengeneza hofu isiyo na sababu, wafanyabiashara wanalia

    Jana nilikaguliwa mpk nikaona kero, vitu ndani ya begi vilikuwa vinatolewa na kuparanganywa, nikamuuliza yule kijana aliyekuwa anafanya hilo zoezi kwa msaada wa usimamizi wa Polisi, unafahamu thamani ya hiyo laptop, tukaishia kugombana. Ninachosikitika ni kwamba wenye mabanda huko ndani...
  7. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Huko kwenye viwanja vya Saba Saba hali ikoje?

    Kuwa mkweli chief, 7/7 haina watu.....nilikuwepo Jana watu walikuwa wengi wa kutosha, leo nipo hapa hakuna watu, kama Mtanzania nasikitika maana naona Taifa linaangamia kwa porojo za viongozi..........tuache hizi propaganda, tumeshadanganya sana hatujafanikiwa lolote, tujaribuni kusema ukweli...
  8. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Lema anapokea Tsh milioni 15 kila mwezi kwa kazi ya kuleta vurugu nchini

    Autoe wapi, CCM ya leo ni kama kuku aliyekatwa kichwa, wanapaparika Tu.
  9. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Lema anapokea Tsh milioni 15 kila mwezi kwa kazi ya kuleta vurugu nchini

    CCM ni chama kikubwa, kinaoendwa, kina wanachama millions.......wanashindwa nini uhamasishaji na chama wanachodai kinakufa, kama CDM inahamasisha maandalano CCM uitumie mtaji wake wa kupendwa kuhamasisha mshikamano na amani. Huu mnyukano mbona CCM wanataka Polisi iingilie Kati...
  10. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Ningekuwa Rais Samia, ningemwomba Lissu turidhiane kwa dhati na anisamehe

    Nyinyi ndio munampitisha Madam President kwenye tanuru la Moto. Mupo nje ya ulingo munaona dakika za masumbwi ni chache, munamuambia mama akaze, sio sawa. Mliopo karibu naye mlipaswa kumueleza ukweli, kuridhiana na Lissu sio unyonge au kujishusha, huo ni uongozi imara, tena hasa kama...
  11. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Page ya Russian Today (RT) haina habari ya ujio wa Rais Samia. Jamaa wanatudharau pia?

    Ila Watanzania....😂 Hampoi kabisa, mpk watu waweke magunzi kwa masikio maana munapekenyua kila kitu.
  12. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Hamjamuelewa yule mbunge kutoka Zanzibar. Sigrada Mligo ndio Yuda wala sio Dkt Nchimbi

    😂😂😂 Kimeumana.
  13. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Kabla ya 2030 tutanunua ndege nyingine 40

    Wazilete Tu, zinapendeza sana zikiwa zimejipanga pale Airport, mana hata tukisema zinatia hasara Taifa hamtusikilizi, leteni ziwe mapambo, zingine mubebee chawa kwenda kushangilia Moira.
  14. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Kombo: Kila nchi tuliyoenda tuliambiwa kwanini Serikali haikuja mapema, tulidanganywa kuhusu matukio ya Oktoba 29

    Mtu mzima kuwa mwongo aibu Sana, hii aibu akikaa mwenyewe lazima roho inauma sana, binafsi nawaombea hekima wasizidi kuharibu zaidi.
  15. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hatarini kufutwa na kusambaratika kabisa

    Mimi sielewi wenzangu munawazaje, au ndio Malipo munayopata yanawafanya vichwa visiwaze vizuri. CDM inaweza kufutwa, kuuwawa na Serikali, lkn haimaanishi CDM ikifa ndio CCM itapendwa, kuiua CDM vizuri ni Serikali kutenda haki, kujali wananchi, viongozi kuacha rushwa, huduma bora za afya na...
Back
Top Bottom