Recent content by Roy Logan

  1. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Page ya Russian Today (RT) haina habari ya ujio wa Rais Samia. Jamaa wanatudharau pia?

    Ila Watanzania....😂 Hampoi kabisa, mpk watu waweke magunzi kwa masikio maana munapekenyua kila kitu.
  2. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Hamjamuelewa yule mbunge kutoka Zanzibar. Sigrada Mligo ndio Yuda wala sio Dkt Nchimbi

    😂😂😂 Kimeumana.
  3. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Kabla ya 2030 tutanunua ndege nyingine 40

    Wazilete Tu, zinapendeza sana zikiwa zimejipanga pale Airport, mana hata tukisema zinatia hasara Taifa hamtusikilizi, leteni ziwe mapambo, zingine mubebee chawa kwenda kushangilia Moira.
  4. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Kombo: Kila nchi tuliyoenda tuliambiwa kwanini Serikali haikuja mapema, tulidanganywa kuhusu matukio ya Oktoba 29

    Mtu mzima kuwa mwongo aibu Sana, hii aibu akikaa mwenyewe lazima roho inauma sana, binafsi nawaombea hekima wasizidi kuharibu zaidi.
  5. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hatarini kufutwa na kusambaratika kabisa

    Mimi sielewi wenzangu munawazaje, au ndio Malipo munayopata yanawafanya vichwa visiwaze vizuri. CDM inaweza kufutwa, kuuwawa na Serikali, lkn haimaanishi CDM ikifa ndio CCM itapendwa, kuiua CDM vizuri ni Serikali kutenda haki, kujali wananchi, viongozi kuacha rushwa, huduma bora za afya na...
  6. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Kwamba tangu tumepata uhuru huyu ndie Rais ambae wananchi wanamchukia na hawamkubali?

    Nafikiri hata yeye anawaza kwamba imekuwaje, Ila kiukweli uongozi wa Rais Samia unachukiwa sana, ukikuta kikundi cha watu 10 labda mmoja au wawili ndio watamtetea, angalau au asiwepo kabisa wa kumtetea. Binafsi nimeridhisha na maswala mawili hakika yanayogharimu uongozi wa bi mkubwa, kwanza...
  7. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Polisi: Tulimkamata Geofrey Mwambe Desemba 7,2025 kwa tuhuma za jinai

    Kama kuna chawa yeyote mwenye akili timamu aje atupe taarifa zaidi nini kinaendelea huko ndani, au wenyewe Kazi yao ni kupewa # za kupush hakuna kitu wanahoji au kujua........
  8. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Achieni Keyboard mkaongoze mapambano makamanda

    Hawa watu hawafikri vizuri, hii nguvu iliyotumika wamefikiria imegharibu kiasi gani cha fedha, Uchumi unazama wao wanakebehi, binafsi kama hali itakuwa shwari nitaambia vijana asanteni kwa kutoandamana na sio kuwakejeli, Jeshi/Polisi wamejaa road halafu unasema MAANDAMANO hayajafanikiwa, akili...
  9. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Achieni Keyboard mkaongoze mapambano makamanda

    Hii ndio shida ya washauri wa CCM, hembu fikiria ni vingapi vimedoda kwa akili zako, hakuna shuhuli ya uchumi inaendelea leo, gharama ambayo Serikali imeingia leo kwa ishu ya kuzuia MAANDAMANO, fikiria na Kesho tena wakihamasishana kwamba waandamane, hata kama hayatanikiwa lkn shuhuli za Uchumi...
  10. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Kaka yake Hamphrey Polepole alitoa Ultimatum ya Masaa 24 kwa Maadui zake na kutuahidi Watanzania kulipiza Kisasi mbona sasa yamekuwa Masaa 336?

    Nafikiri alikuwa anafurahisha genge japo maneno yake sio ya kupuuza hasa wakati huu Taifa lipo kwenye mstari mwembamba, kuna kauli yake ya wingi alitumia (Sisi) halafu akajishtukia, dizaini hili chezo sio la mtu moja.
  11. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mo29; Ole wake atakayeandamana. D9; Nimetumwa na Rais niwaombe msiandamane. Kwa kinyonge sana

    Haya ni mazao ya JIWE, Jamaa watu walimkubali ili binafsi niliona kabisa Taifa linaenda kugonga mwamba sehemu, Mungu amrehemu huko alipo ana mema yake mengi Tu amefanya hasa kulinda rasilimali ila pia kachangia pakubwa sana kutufikisha hapa tulipo.
  12. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Simbachawene: Vifo vilivyotokea Oktoba 29 sitaki vitokee tena

    Naona taratibu wanaanza kufunguka kwamba kulikuwa na vifo, sasa wasemw wazi hivyo vifo vilitokana na nini, maana haikuwa Pandemic Ile kwamba iliua halaiki, pili watuambie na idadi ya vifo, tatu watupatie miili ya ndugu/Jamaa na marafiki zetu tujawazike kwa heshima, nne wahusika WA mauaji...
  13. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hata kipindi cha Hayati Magufuli alitokaga Waziri Mkuu akadai yupo mzima na anachapa kazi

    Hata hilo la kutompenda Tu ni Jambo umefanya.
  14. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania UN Human Rights: Tunavikumbusha tena vikosi vya usalama kutotumia nguvu kutawanya waandamanaji hapo kesho

    Tatizo mkiandamana hamuishii Tu kuzunguka mjini, Mnataka na sahani yangu ya wali wa nazi na samaki wa kupaka pia niwaachie, itakuwaje sasa? 🥺
  15. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Je, karipio la utekaji linahusu Polisi pekee? Je Simbachawene anaweza kuwaamrisha TISS?

    Wamechanganyikiwa, hawajui ni kipi hasa kinawatoa VIJANA kwa road, matamko yatasikika sana, tuwe tayari kuyasikia, kuyafanyia Kazi kutoyafanyia Kazi hilo ni swala lingine.
Back
Top Bottom