Kwanza matumizi makubwa ya fedha kwenye Serikali na Taasisi zake, mishahara na posho za wabunge, ningehakikisha nawapiga wabunge na perdiem ya 240,000/= angalau mara mbili ya perdiem za watumishi wa UMMA, mishahara yao ningeifanya nusu ya wanayokula sasa, ningehakikisha rushwa inakuwa adui wa...
Kuhusu Demokrasia kukua ? HAPANA.........kinachotokea ni CCM kulazimishwa na kizazi kipya kwamba hatuwataki, CCM wanajua na kuliona hili na ndio maana KATIBA MPYA hawataki kuisikia maana wanajua ni janga kwao.......
Itakuwa poa Sana tukiamua na kuamka kama waafrika, japo safari ni ndefu kutokana na baadhi ya viongozi walivyovurunda huko nyuma, hasa kwenye kutegemea msaada kwenye bajeti zetu na kukubali mikopo inayoumiza Taifa, Ila ni dhahiri manyanyaso yametuchosha, ni wakati wa KUTENDA sasa, tutumie...
Hivi kuna siku huyu Waziri keshawahi simama sehemu akaelezea Mipango ya Tanzania kwenda na Kasi ya teknolojia, akatoa nondo namna tumepiga hatua na mauvumbuzi ya uhakika hivi, maana simuelewi, yeye kila siku ni story tu ambazo sidhani kama zinatusaidia.
Sasa huyu Waziri anataka tumpigie makofi au? hao ni matapeli tunataka kusikia wapo kwenye Mikono ya Sheria kwa udanganyifu, sio blah blah.......Kesho watakutana na Kiongozi mwingine laini watapiga mshindo kama kawaida.
Boss tunaongele mambo ya Nchi Mzee.....ishu ya mke inakujaje hapa, Yani uwe rais WA Nchi uone kabisa huna pa kutokea uite mkeo, unaniangusha Boss, ukishakuwa na madaraka makubwa kama ya Urais inakuwa Nchi kwanza, mambo ya familia badae.
Magufuli aliweza kuagiza Mapadri waende, lakini alishindwa kuagiza aitiwe Makamu wake, hata amuachie wosia juu ya Majukumu anayomuachia, naona bado kuna vumbi halijatuama, nasubiri story zaidi.
CCM kuitimba Katiba ni kawaida yao, mara ngapi wanalaumiwa kwa kwenda kinyume na Katiba, ukipata jibu hutashangaa hata hicho walichotaka kufanya kwa Mama Samia, hiyo ndio CCM HALISI.
Aliyeenda, kaenda, wakiwa kwenye MIC wanajifanya wanamuenzi, wakiwa pembeni wanamsimanga, hii dunia ukitoka umetoka, wanaokuja nyuma wanakuja na Yao, FULLSTOP.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.