Recent content by Roy Logan

  1. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania 7/7 hakuna watu, Serikali imefanikiwa kuyaua maonesho kwa kutengeneza hofu isiyo na sababu, wafanyabiashara wanalia

    Jana nilikaguliwa mpk nikaona kero, vitu ndani ya begi vilikuwa vinatolewa na kuparanganywa, nikamuuliza yule kijana aliyekuwa anafanya hilo zoezi kwa msaada wa usimamizi wa Polisi, unafahamu thamani ya hiyo laptop, tukaishia kugombana. Ninachosikitika ni kwamba wenye mabanda huko ndani...
  2. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Huko kwenye viwanja vya Saba Saba hali ikoje?

    Kuwa mkweli chief, 7/7 haina watu.....nilikuwepo Jana watu walikuwa wengi wa kutosha, leo nipo hapa hakuna watu, kama Mtanzania nasikitika maana naona Taifa linaangamia kwa porojo za viongozi..........tuache hizi propaganda, tumeshadanganya sana hatujafanikiwa lolote, tujaribuni kusema ukweli...
  3. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Lema anapokea Tsh milioni 15 kila mwezi kwa kazi ya kuleta vurugu nchini

    Autoe wapi, CCM ya leo ni kama kuku aliyekatwa kichwa, wanapaparika Tu.
  4. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Lema anapokea Tsh milioni 15 kila mwezi kwa kazi ya kuleta vurugu nchini

    CCM ni chama kikubwa, kinaoendwa, kina wanachama millions.......wanashindwa nini uhamasishaji na chama wanachodai kinakufa, kama CDM inahamasisha maandalano CCM uitumie mtaji wake wa kupendwa kuhamasisha mshikamano na amani. Huu mnyukano mbona CCM wanataka Polisi iingilie Kati...
  5. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Ningekuwa Rais Samia, ningemwomba Lissu turidhiane kwa dhati na anisamehe

    Nyinyi ndio munampitisha Madam President kwenye tanuru la Moto. Mupo nje ya ulingo munaona dakika za masumbwi ni chache, munamuambia mama akaze, sio sawa. Mliopo karibu naye mlipaswa kumueleza ukweli, kuridhiana na Lissu sio unyonge au kujishusha, huo ni uongozi imara, tena hasa kama...
  6. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Page ya Russian Today (RT) haina habari ya ujio wa Rais Samia. Jamaa wanatudharau pia?

    Ila Watanzania....😂 Hampoi kabisa, mpk watu waweke magunzi kwa masikio maana munapekenyua kila kitu.
  7. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Hamjamuelewa yule mbunge kutoka Zanzibar. Sigrada Mligo ndio Yuda wala sio Dkt Nchimbi

    😂😂😂 Kimeumana.
  8. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Kabla ya 2030 tutanunua ndege nyingine 40

    Wazilete Tu, zinapendeza sana zikiwa zimejipanga pale Airport, mana hata tukisema zinatia hasara Taifa hamtusikilizi, leteni ziwe mapambo, zingine mubebee chawa kwenda kushangilia Moira.
  9. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Kombo: Kila nchi tuliyoenda tuliambiwa kwanini Serikali haikuja mapema, tulidanganywa kuhusu matukio ya Oktoba 29

    Mtu mzima kuwa mwongo aibu Sana, hii aibu akikaa mwenyewe lazima roho inauma sana, binafsi nawaombea hekima wasizidi kuharibu zaidi.
  10. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hatarini kufutwa na kusambaratika kabisa

    Mimi sielewi wenzangu munawazaje, au ndio Malipo munayopata yanawafanya vichwa visiwaze vizuri. CDM inaweza kufutwa, kuuwawa na Serikali, lkn haimaanishi CDM ikifa ndio CCM itapendwa, kuiua CDM vizuri ni Serikali kutenda haki, kujali wananchi, viongozi kuacha rushwa, huduma bora za afya na...
  11. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Kwamba tangu tumepata uhuru huyu ndie Rais ambae wananchi wanamchukia na hawamkubali?

    Nafikiri hata yeye anawaza kwamba imekuwaje, Ila kiukweli uongozi wa Rais Samia unachukiwa sana, ukikuta kikundi cha watu 10 labda mmoja au wawili ndio watamtetea, angalau au asiwepo kabisa wa kumtetea. Binafsi nimeridhisha na maswala mawili hakika yanayogharimu uongozi wa bi mkubwa, kwanza...
  12. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Polisi: Tulimkamata Geofrey Mwambe Desemba 7,2025 kwa tuhuma za jinai

    Kama kuna chawa yeyote mwenye akili timamu aje atupe taarifa zaidi nini kinaendelea huko ndani, au wenyewe Kazi yao ni kupewa # za kupush hakuna kitu wanahoji au kujua........
  13. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Achieni Keyboard mkaongoze mapambano makamanda

    Hawa watu hawafikri vizuri, hii nguvu iliyotumika wamefikiria imegharibu kiasi gani cha fedha, Uchumi unazama wao wanakebehi, binafsi kama hali itakuwa shwari nitaambia vijana asanteni kwa kutoandamana na sio kuwakejeli, Jeshi/Polisi wamejaa road halafu unasema MAANDAMANO hayajafanikiwa, akili...
  14. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Achieni Keyboard mkaongoze mapambano makamanda

    Hii ndio shida ya washauri wa CCM, hembu fikiria ni vingapi vimedoda kwa akili zako, hakuna shuhuli ya uchumi inaendelea leo, gharama ambayo Serikali imeingia leo kwa ishu ya kuzuia MAANDAMANO, fikiria na Kesho tena wakihamasishana kwamba waandamane, hata kama hayatanikiwa lkn shuhuli za Uchumi...
  15. Roy Logan

    JamiiForums Tanzania Kaka yake Hamphrey Polepole alitoa Ultimatum ya Masaa 24 kwa Maadui zake na kutuahidi Watanzania kulipiza Kisasi mbona sasa yamekuwa Masaa 336?

    Nafikiri alikuwa anafurahisha genge japo maneno yake sio ya kupuuza hasa wakati huu Taifa lipo kwenye mstari mwembamba, kuna kauli yake ya wingi alitumia (Sisi) halafu akajishtukia, dizaini hili chezo sio la mtu moja.
Back
Top Bottom