Mimi sielewi wenzangu munawazaje, au ndio Malipo munayopata yanawafanya vichwa visiwaze vizuri.
CDM inaweza kufutwa, kuuwawa na Serikali, lkn haimaanishi CDM ikifa ndio CCM itapendwa, kuiua CDM vizuri ni Serikali kutenda haki, kujali wananchi, viongozi kuacha rushwa, huduma bora za afya na...