Mi mwenyewe huwa najiuliza lengo la hizi report ni nini?, wanaishia kuzisoma na kurumbana bungeni baada ya hapo mjadala unafungwa, ndo maana hawajali report za CAG hazina mwisho wa kuwajibishana wanaendelea na mipigo wakijua itasomwa na itafungwa
Ajabu zaidi wanasema Iran ameishiwa saizi anarusha chache, pamoja na kusema wanamiliki anga la Iran wameshindwa kuzuia hizo chache mpaka zinafika. Mi naona Dunia imechanganyikiwa.
Maajabu memgine ni pale maji yamefikishwa kwenye tank yanakuja kufunguliwa yanarudi tena mtoni kwa kisingizio yamekuwa mengi wakati huohuo watu hawapati wamefungiwa eti mgao siyo siku yao kupata maji, najiuliza hayo yanayorudi mtoni kwanini yasipelekwe kwenye line iliyopp kwenye mgao analai...
Miundombinu ya kuwalindia wenzie haina uwezo tena kichobaki ni kuwalinda kwa maneno sijui wataendelea kumuamini awalinde, yaani katia aibu mameli yote aliyotuma yameshindwa kumlinda hata yeye mwenyewe
Nao ni mda wa kupata shida ya kuomba kukaa mezani moja, wasisahau walikuwa hawataki mpaka wakasaini kutokana meza ya mazungumzo na Urusi, Saizi zamu yao kulilia hiyo meza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.