Recent content by Rotomoto

  1. R

    CAG: Mradi wa ujenzi wa Uwanja Arusha ulikadiriwa bilioni 187, mkataba ukasainiwa bilioni 338

    Mi mwenyewe huwa najiuliza lengo la hizi report ni nini?, wanaishia kuzisoma na kurumbana bungeni baada ya hapo mjadala unafungwa, ndo maana hawajali report za CAG hazina mwisho wa kuwajibishana wanaendelea na mipigo wakijua itasomwa na itafungwa
  2. R

    Iran yakishambulia kituo cha Nyuklia cha Dimona na kukiharibu kabisa

    Ajabu zaidi wanasema Iran ameishiwa saizi anarusha chache, pamoja na kusema wanamiliki anga la Iran wameshindwa kuzuia hizo chache mpaka zinafika. Mi naona Dunia imechanganyikiwa.
  3. R

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Waweke vyepesi kuscroll mpaka juu ni shida zaidi
  4. R

    KERO Hivi inakuaje maji hayatoki na bili ipo pale pale. DAWASA acheni michezo

    Maajabu memgine ni pale maji yamefikishwa kwenye tank yanakuja kufunguliwa yanarudi tena mtoni kwa kisingizio yamekuwa mengi wakati huohuo watu hawapati wamefungiwa eti mgao siyo siku yao kupata maji, najiuliza hayo yanayorudi mtoni kwanini yasipelekwe kwenye line iliyopp kwenye mgao analai...
  5. R

    US MILITARY OFFICIAL: Meli ya USS Gerald R. Ford ilipata changamoto ya kuwaka moto wakati wa doria

    Yaani kipindi cha mvutano hitlafu nayo ikaona ni mda sahihi wa kutokea na kusababisha moshi wote huo?
  6. R

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Miundombinu ya kuwalindia wenzie haina uwezo tena kichobaki ni kuwalinda kwa maneno sijui wataendelea kumuamini awalinde, yaani katia aibu mameli yote aliyotuma yameshindwa kumlinda hata yeye mwenyewe
  7. R

    Hivi kwanini Putin kashindwa kufanya kwa Zelenskyalichofanyiwa Ayatollah wa Iran na Marekani?

    Nadhani anajua umri wa mtu una mwisho atajifia tu, lakini ardhi ni endelevu kizazi na kizazi
  8. R

    Disco lililoingia Mmasai.

    Maigizo hayo kuna kavideo kanaonyesha wanakunjana hivyo wakaanza kusukuma gari kwenye vumbi, wanajiangusha kwenye vumbi
  9. R

    Wachina kwa Magwalide hawajambo sana!!!

    Utafikiri ni kiwanda machine au mitambo ipo on inafanya kazi
  10. R

    Namuona Trump akigombea 2024 na kushinda Urais wa Marekani

    Ukorofi huo kuwaonyesha watunga sera wa marekani Ukorofi huo kuwacheka watunga sera na kanuni wa Marekani
  11. R

    G7 nao waamua kuibana mbavu zaidi Urusi. Kama wenzao G55 wao waamua nao waanze pata mafao.

    Kwani wanatoka nchi tofauti na zilizoweka vikwazo mpaka zimechoka
  12. R

    Zelensky amewasili Uturuki kwa Majadiliano huku Putin ameshindwa kuhudhuria

    Nao ni mda wa kupata shida ya kuomba kukaa mezani moja, wasisahau walikuwa hawataki mpaka wakasaini kutokana meza ya mazungumzo na Urusi, Saizi zamu yao kulilia hiyo meza
Back
Top Bottom