Recent content by rosem

  1. R

    Msaada kwa aliyewahi fanya interview ya Social Welfare

    Website gani wametoa cz nimeangalia utumisha hamna and other places
  2. R

    Msaada kwa aliyewahi fanya interview ya Social Welfare

    Jaman wametoa wapi hilo Tangazo la kuitwa kwenye interiew? Silioni kabisa na mm niliomba, plz msaada wenu
  3. R

    Kwa Wale wa CPA(T)

    Nakuunga mkono Keynes, kwa nn mtu udharau jaman, do u thnk u are the best than others academically? Kila mtu amepewa karama yake bwana, acheni dharau sio lazima kucoment kila unachokiona, waacheni wengine hekima na busara za Kitaaluma watoe ushauri makini kwa wenye shida; umasikini utaisha lini...
  4. R

    Kwa Wale wa CPA(T)

    Jaman hamana course iliyo nzuri kuliko nyingine, hee jaman wazanzania wana dharau sana, ujue mtu anaposomea Sociology, community development studies sio kwamba hajaona kama kuna uhasibu, udakitari; tunaishi kwa kutegemeana 1day mtu uliyesoma udakitar au accounts utahitaji msaada ofcn kwa mtu...
  5. R

    Natafuta kazi za Research

    Ahsante sana bwana Sahil kwa kunifungua wapi kaz za research zipo, nilienda na nikapewa maelekezo na bado nafuatilia
  6. R

    Ogopa huu ni wizi wa mchana kweupe kabisa kabisa

    Safi sana na tuendelee kuwaaibisha, hta mm niliwah kuambiwa nitume laki 5 yy n Hr wa PSPS yaan hakupata hata sent pamoja na kunifanyia interview kwenye simu ndipo niliposhituka, huyo mmoja anakaa baruti hapa dar na huwa namuona anaona aibu cz aliniunganisha na matapeli kwa simu,
  7. R

    Natafuta kazi za Research

    Wa nn mashemeji, labda shemeji sio mashemeji
  8. R

    Natafuta kazi za Research

    Time will tell kuwa idle sio kwamba u are nt competent, the issue is opportunities, cz u may have much of skills bt the place to apply ur skills become unopen
  9. R

    Natafuta kazi za Research

    Sor hiyo RAHA tower ipo sehemu gani hapa dar, ahsante kwa kunipa wazo , nitatembelea soon
  10. R

    Natafuta kazi za Research

    Kama kuna kaz za research hata kama part time tujuzane
  11. R

    Natafuta kazi za Research

    Mm nipo dar
  12. R

    Natafuta kazi za Research

    Hello ukipata plz let me know cz hata mm nazitafuta sana kazi za research en am compentent on this, kama ukipata cal m via 0754357533
  13. R

    Nimetapeliwa laki na nusu kwa ajili ya kutafutiwa kazi

    Pole sana hata mm nitaka kutapeliwa na mtu ninayemfahamu bt aliniunganisha kwa simu na watu nisowajua , wakanifanyia interview kwa simu, yaani jaman nikaambiwa nitume laki tano kwa mpesa, kwa kwel nilishituka na huu mfumo wa ajira na sikutoa hela yangu, jana tu nimekutana na huyo mtu ameona aibu...
  14. R

    Natamani kuachana na wife

    Amina Amina, usije ukaruka mokojo ukakanyaga kinyesi, plz usiwe na mawazo ya kuwa kwenye raha siku zote no, unapokutwa na challenges na ukiweza kuovercome ndo itakupa strengths kwenye mambo magumu mbeleni, unaweza kumwacha kumbe Mungu alikuwekea jaribu kupitia mke wake ili akupime jinsi gani...
  15. R

    Room to read

    Ahsante Nicode kwa taarifa
Back
Top Bottom