Sio Honey Trap mkuu. Nipo serious kaka. Ninaomba msaada wako kama utaweza. Ile ID yangu nyingine Maxence Melo ameifanyia figisu sasa haiwezi kutuma wala kupokea private messages (PM) kwa sababu nilimchana ukweli mchungu kisha akakasirika. Please help me brother.
"Dogo acha kukaa ndani peke yako. Toka nje ukakae na vijana wa rika lako"
Yule m-beba vyuma ndio alikuwa anawapa taarifa zangu? Hata CIA wakiwa na taarifa za mtu hawazimwangi hovyo mtandaoni ndio maana wanaiongoza dunia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.