Recent content by Rosca

  1. R

    Shortcourses and training

    jaman wadau natafuta nafasi kwa ajili ya short course au training specifically zinazohusu mambo ya sayansi particulary laboratory works, research methods, nematology, pathology and plant pest and diseases kwa hapa Tanzania kuanzia mwez wa saba, gharama ni juu yangu. Mwenye information yoyote...
  2. R

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Wakuu kama hukusoma phy na chemia, afu biology una C, daraja ulilopata ni 4 ya 26 unaweza kwenda coz zip za mambo ya afya
  3. R

    Jamani UDOM kunani?

    Jaman mwenye updates zozote kuhusu ajira za UDOM maana tulifanya interview toka mwezi Desemba. Mpaka leo naona kimya au watu walishaitwa? Msaada please anayefahamu maana ngoja ngoja yaumiza matumbo
  4. R

    UDOM, TA's UPDATES

    Maana mpaka leo naona kimya kama kuna mwenye taarifa zozote tafadhali tusaidieni
  5. R

    UDOM, TA's UPDATES

    Tuliofanya interview nafasi za TA's, college of Natural sciences, tuliambiwa majbu Januar mwishon, kuna mwenye updates?
  6. R

    Udom wameita tena college of natural and mathematical science

    Mkuu tupe uhakika ndugu zetu wasipoteze nauli
  7. R

    Biologist

    Heri we unayejua pa kwenda, dunia mapito 2.
  8. R

    Biologist

    Specific kwenye issues za ecology, zoology, botany or environments
  9. R

    Biologist

    Nina degree ya Bsc.Biology from UDOM, natafuta mahali popote pa kuvolunteer especially kwenye issues za ecology, molecular bios, zoology or environments msaada wenu tafadhali great thinkers
  10. R

    Hi wapendwa!

    Jamani nawasalimia 2 wenyeji. Hiiiiiiii
Back
Top Bottom